Hawa ndio walipa kodi wakubwa nchini; NMB yabwaga Benki zote

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
Kwa ufupi:eek:nly one mining company,one telecom company,no gas/fuel company!!

1.TBL(Tsh bilioni 165.4)

2.NMB(Tsh bilioni 108.6)

3.TCC (Tsh bilioni 92.1)

4.NBC (Tsh bilioni 89.9)

5.CRDB Bank Ltd(Tsh bilioni 79.2)

6.Tanzani Ports Authority(Tsh bilioni 76.8)

7.Tanzania Portland Authority(Tsh 73.4 bilioni)

8.Airtel(T) Ltd(Tsh bilioni 63.6)

9.Tanga cement company Ltd(Tsh 43.6)

10.Standard chartered Bank Ltd(Tsh bilioni 40)

11.Citibank(T) Ltd(Tsh bilioni 35.7)

12.Resolute(T) Ltd(Tsh bilioni 32.1)

13.TICTS(Tsh bilioni 25.9)

14.Tanzania Distillers Ltd(Tsh bilioni 13.4)

15.Group five international(PTY) Ltd(Tsh bilioni 9.5)

source:hotuba ya waziri mkuu bungeni tarehe 28/8/2011.
 
Wajinga ndio waliwao..sasa kama dhahabu imefikia dola 1950 kwa ounce why Barrick haimo?!!
 
Kwa ufupi:eek:nly one mining company,one telecom company,no gas/fuel company!!

1.TBL(Tsh bilioni 165.4)

2.NMB(Tsh bilioni 108.6)

3.TCC (Tsh bilioni 92.1)

4.NBC (Tsh bilioni 89.9)

5.CRDB Bank Ltd(Tsh bilioni 79.2)

6.Tanzani Ports Authority(Tsh bilioni 76.8)

7.Tanzania Portland Authority(Tsh 73.4 bilioni)

8.Airtel(T) Ltd(Tsh bilioni 63.6)

9.Tanga cement company Ltd(Tsh 43.6)

10.Standard chartered Bank Ltd(Tsh bilioni 40)

11.Citibank(T) Ltd(Tsh bilioni 35.7)

12.Resolute(T) Ltd(Tsh bilioni 32.1)

13.TICTS(Tsh bilioni 25.9)

14.Tanzania Distillers Ltd(Tsh bilioni 13.4)

15.Group five international(PTY) Ltd(Tsh bilioni 9.5)

source:hotuba ya waziri mkuu bungeni tarehe 28/8/2011.

Hotuba ya waziri Mkuu haiko sawa kwasababu:

Huo ndo mgodi mdogo wa dhahabu kuliko yote Tanzania, naongelea productionwise. Je, ni kiasi gani migodi ya Barrick Bulyankulu, Tulawaka, North Mara na Buzwagi imelipa kama kodi Serikalini?

Je, GGM imelipa kiasi gani kwa kipindi hicho?

Mbona Tanzania ndio mzalishaji mkubwa wa 3 wa dhahabu duniani na migodi inayoongoza hapa Tz, ni ile ya GGM na Barrick wakati kwenye ripoti ya PM, hawapo?
 
Wakuu,Salaam!

Kwa wale mliofuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu wakati wa kuahirisha Bunge Jana alitoa pongezi na kuzitaja Makampuni au Mashirika yanayoongoza kwa kulipa Kodi hapa nchini.

Alisema kwa kipindi Cha mwaka 2005 na 2011 Makampuni hayo yamekuwa yakifanya vizuri katika ulipaji Kodi.

Aliyataja Makampuni hayo Kama ifuatavyo


"Mheshimiwa Spika,
Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka 2005 na 2011.

Kwa kipindi hicho, Makampuni yaliyoongoza kwa kulipa kodi ni pamoja na:


i. Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 165.4);
ii. National Microfinance Bank (Shilingi Bilioni 108.6);

iii. Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);

iv. National Bank of Commerce (Shilingi Bilioni 89.9);

v. CRDB Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 79.2);

vi. Tanzania Ports Authority (Shilingi Bilioni 76.8);

vii. Tanzania Portland Cement (Shilingi Bilioni 73.4);

viii. Airtel (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 63.6);

ix. Tanga Cement Company Ltd. (Shilingi Bilioni 43.6);

x. Standard Chartered Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 40.0);

xi. Citibank (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 35.7);

xii. Resolute (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 32.1);

xiii. TICTS (Shilingi Bilioni 25.9);

xiv. Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 13.4); na

xv. Group Five International (PTY) Ltd. (Shilingi Bilioni 9.5)."



Source: Speech ya Waziri Mkuu Bungeni

Haya Wakuu na tujadili na kutoa maoni yetu...
 
PM nae kichekesho. Kamati ya bunge hesabu za serikali imedanganywa katika hili. Wapi vodacom na tigo? Na zinatunganya eti vodacom a leading cellular network na sasa hivi kazi ni kwako. Tigo nao wezi watupu. Kamati ya bunge husika ifuatilie hili suala kwa ukaribu
 
Yaani group five inalipa kodi zaidi ya Barrick???????????? Kweli Tanzania zaidi ya uijuavyo

Ina maana watu wa madini hawalipi kodi au serikali haikusanyi kodi toka kwa makampuni hayo hasa hili kampuni kichefuchefu linalomiliki Nyamongo gold. Ni wakati muafaka sasa tuchukue migodi yetu tuiendeshe wenyewe huenda tukapata kodi toka huko.

Sitaki kuziamini hizo data za pm. Kama ni kweli basi madini tuwape akina mafuru au kimei ili tupate kodi
 
Wakuu,Salaam!

Kwa wale mliofuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu wakati wa kuahirisha Bunge Jana alitoa pongezi na kuzitaja Makampuni au Mashirika yanayoongoza kwa kulipa Kodi hapa nchini.

Alisema kwa kipindi Cha mwaka 2005 na 2011 Makampuni hayo yamekuwa yakifanya vizuri katika ulipaji Kodi.

Aliyataja Makampuni hayo Kama ifuatavyo;

1. Tanzania Breweries Company(TBL) Shilingi Bilioni 165.4
2. National Microfinace Bank(NMB). Shilingi Bilioni 108.6
3. Tanzania Cigarette Company(TCC). Shilingi Bilioni 92. 1
4. National Bank of Commerce(NBC). Shilingi Bilioni 89.9
5. CRDB LTD Shilingi Bilioni 79.2
6. Tanzania Ports Authority(TPA) - Shilingi Bilioni 76.8
7. Tanzania Potland Cement - Shilingi Bilioni 73.4
8. Airtel(T) LTD - Shilingi Bilioni 63.6
9. Tanga Cement Company - Shilingi Bilioni 43.6
10. Standard Charted Bank - Shilingi Bilioni 40.0
11. City Bank. Shilingi Bilioni 35.7
12. Resolute(T) LTD. Shilingi Bilioni 32.1
13. TICTS. Shilingi Bilioni 25.9
14. Tanzania Distillers LTD. Shilingi Bilioni 13.4
15. Group Five International. Shilingi Bilioni 9.5

Haya Wakuu na tujadili na kutoa maoni yetu...

Ni kuleta hasira tu kwa wa Tanzania. NMB ya walala hoi ndo inaongoza hata haya ma migodi? Sasa si tubaki na benki tu na kuwafukuza wawekezaji kwenye madini?

Halafu, jana PM anasema mikoa mitano ya mwisho kwa uchumi wa watu wake kuwa ni pamoja na Shinyanga, Kigoma, nk, huku akitaja fursa zilizopo kwenye mikoa hiyo kuwa ni pamoja na kilimo cha pamba, ufugaji, nk (hakutaja madini), ALINIUDHI MIMI? Yaani unawezaje kuitaja Shinyanga bila kueleza fursa za madini? Au madini haya kweli si ya kwetu, ooo my God.

USANII MTUPU HAPA
 
Wakuu,Salaam!

Kwa wale mliofuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu wakati wa kuahirisha Bunge Jana alitoa pongezi na kuzitaja Makampuni au Mashirika yanayoongoza kwa kulipa Kodi hapa nchini.

Alisema kwa kipindi Cha mwaka 2005 na 2011 Makampuni hayo yamekuwa yakifanya vizuri katika ulipaji Kodi.

Aliyataja Makampuni hayo Kama ifuatavyo;

1. Tanzania Breweries Company(TBL) Shilingi Bilioni 165.4
2. National Microfinace Bank(NMB). Shilingi Bilioni 108.6
3. Tanzania Cigarette Company(TCC). Shilingi Bilioni 92. 1
4. National Bank of Commerce(NBC). Shilingi Bilioni 89.9
5. CRDB LTD Shilingi Bilioni 79.2
6. Tanzania Ports Authority(TPA) - Shilingi Bilioni 76.8
7. Tanzania Potland Cement - Shilingi Bilioni 73.4
8. Airtel(T) LTD - Shilingi Bilioni 63.6
9. Tanga Cement Company - Shilingi Bilioni 43.6
10. Standard Charted Bank - Shilingi Bilioni 40.0
11. City Bank. Shilingi Bilioni 35.7
12. Resolute(T) LTD. Shilingi Bilioni 32.1
13. TICTS. Shilingi Bilioni 25.9
14. Tanzania Distillers LTD. Shilingi Bilioni 13.4
15. Group Five International. Shilingi Bilioni 9.5

Haya Wakuu na tujadili na kutoa maoni yetu...

Duh sijaona Vodacom, Tigo, Serengeti lazima hizi kampuni kuna mikono ya mafisadi badala ya kwenda serikalini kodi hizo wao ndo wanakula. Hawa Voda si wanajigamba ndo wenye wateja wengi TZ iweje wamepitwa na airtel katika ulipaji kodi??
 
pamoja na makamuni kama voda na ya madini kutoonekana kwenye ubora wa kulipa kodi
lakini namba sita alitakiwa kuwa juu , hapo bandarini kuna kazi kubwa inatakiwa

na wizi wanaofanya voda na makapuni ya madini ukomeshwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom