Hawa ndio walimu, madaktari na wanajeshi watakaoajiriwa

Habari ndugu zangu. Kumekuwa na wimbi kubwa sana la ukosefu wa ajira kwa miaka ya hivi karibun hali ambayo inakatisha tamaa na juhud za kuihangaikia elimu hasa kwa watu wenye kipato cha chini kulinganisha na miaka ya nyuma. Kukosekana kwa nafasi nyingi za ajira ni tatizo ambalo limeanza mwaka 2015/2016 ambapo kimbilio la wengi hasa maskini ktk uwalimu, udaktar na uanajeshi wamekosa ajira. Kimbilio la watanzania hasa wa kipato cha chini ilikuwa ni katk hizo nafasi kwan haikuhitaj rushwa wala kujuana ili upate ajira.

Watu wote waliokuwa wanahitim vyuo vikuu bila kujali ni chuo gan, dini gan, anaitwa nani au ni mtoto wa nani walipataajira kwa pamoja. Kila mtoto aliyejitahid ktk masomo alisomeshwa kwa hali na Mali na huku akipewa majukum angali yupo masomoni kuwa maliza uje utukomboe.

Utukomboe hapa ilikuwa kwanza ni kuwajengea wazaz na kuwasomesha wadogo zako na kubadilisha hali ya maisha kw ujumla. Na haya yote yaliwezekana kwa uhakika wa ajira rasmi kutoka serikalin. Huu ni ukweli usioshaka kuwa hakuna mzazi au mlezi yeyote Yule ambae anajnyima ili msomeshe mtoto kisha mtoto wake akose ajira aanze kuhangaika mtaani kujitaftia vi miamia eti kajiajir kw jambo ambalo linafanya na mtu ambae hata shule ya upili haijui. Ukosefu wa ajira unawatesa sana wazazi maskin waliosomesha kwa shida kulikon hata aliekosa ajira.

Baada ya kuyasema haya mm binafsi naona kuwa tulipofikia au tnakoelekea ajira zote ambazo zilikuwa ndio kimbilio la walala hoi maskini zitakuwa ni za watoto wa watu mashuhuri wenye heshma na vyeo. Yan kuanzia WALIMU, madaktar na wanajeshi watakuwa ni watoto wa mawazir, wabunge madiwan wakuu wa mikoa na wilaya wakurugenzi na mfano wa hao.

Yani tulikofikia mtoto wa maskin kupata ajira itakuwa ni ngumu sana na nilazima uwe na mtu unamjua juu la sivyo utabaki kuwa mzee wa busara mtaani. Nasema yote haya mana mm pia ni muhanga wa hili. Mpak saivi mwaka w 4 huu sina ajira mama kila akiskia tu neno ajira kweny radio anaomba sim anapiga. " mwanangu nimeskia wanatangaza ajira redioni hebu fuarltilia" inaniuma sana. Saivi tulipofikia somesha mwanao na umtafutie ajira na Kama huna nafasi ya kufanya hivyo usipoteze hela zako utakuja kumpa mwanao msongo wa mawazo akiwaza namna ya kukuripa fadhila za jitihada zako za kumpa elimu. Badala yake mtengeneze akiwa kijana mdogo aweze kijitegemea mwenyewe hasa akimaliza elimu ya upili ambayo itamfanya ajitambue na kujisimamia.

Usipo amini maneno yangu chukua mifano michache hapa chini
Viongoz wakuu wote watoto wao wana vyeo vikubwa tu nchini hapa kuanzia wastaafu mpaka waliko madarakan. Hata msiba unaotrend saiv wa mtoto wa mabeyo yule dogo nae alikuwa wa majeshi pia. Sasa wakitoka kwenye mi vyeo mikubw kubwa uko wanarudi kwenye ualimu sasa hapo wee kapuku kama Mimi huna chako labda ukalime nyanya na matikit maji ualimu itakuwa kama manager wa benki na hapo maslahi yataboreshwa na matabaka yatatengenezwa. Tabaka tawala na tawaliwa. Yan maskin atazid kuwa maskin na tajir atazid kuwa tajir.
Sio kweli mkuu, ujue izo idara ulizozitaja zinahitaji watu wengi sana lakini pia kila mwaka watu wanastaafu. Je, hao viongozi ambao umewataja wanawatoto wangapi wa kuziba pengo hili

Kikubwa ni kwamba kutokana na sera ya elimu bure serikali huwa inatumia fedha nyingi sana kama ruzuku mashuleni. Kwa hyo inashidwa kuajili watumishi wengi kuhofia cha kuwalipa. Huko mwazo mambo ya elimu bure hayakuwepo na ndiyo maana ajira zilikuwa za kumwanga.

Cha msingi serikali iangalie hili swala la elimu bure maana linawashinda
 
Kuna siku nilikuwa nimeenda sehemu fulani nilipata shavu la ajira maana nilipigiwa simu na ninayejuana naye niende kupeleka vitu vyangu kwa ajili ya ajira.
kwakuwa ananafasi kidogo nilipofika nilikaa naye ofisini kwake wakaingia na watu wengine kama wanne jambo la kushangaza kulikuwa na nafsi kama zawatu 150 wanatakiwa,
ila hadi nafika mimi karibia nafasi 100 zimejazwa tayari hapo hata tangazo bado halijatoka kwamba kuna watu wanatakiwa kwa ajili ya jambo fulani.

tumetofautiana nlakini nilijisikia vibaya sana ikabidi nimwambie mi nimekua hapo kumwambia sitaweza kufanya hiyo issue kuna issue nyingine nimepata nitaenda mkoa,
alihuzunika sana sababu ilikuwa ni issue inafanyika kwa miezi mitatu then kila siku mtu unaondoka na 40

Niliamua kuahirisha apate mwingine sababu tayari nilikuw ana goli langu naweza jisongesha kimaisha,

Ila inauma sana hasa huko serikalini ajira hadi inatangazwa basi jua wao tayari wamekwisha kujaza watu wao then mnaachiwa nafasi 5 katika 100 na mnaedna interview watu karibia 400
400 au 4000?
 
Mimi nimefanikiwa kusoma hadi chuo na sijawahi ajaliwa popote ila miaka ya nyuma mshawishi kutuma maombi kwenye makampuni kibao na serikalini kuomba ajira bila mafanikio sasa Malima kilimo cha bustani na mafuga sanaa, ila ndugu zangu wenye ajira serikalini kila mwisho wa mwezi hujaa nyumbani kunikopa wakiwa wameshiwa kabisa
 
Kweli kabisa unachosema ..kujitegemea muhimu ..ukisoma kitabu cha rich dad poor dad kinaongelea mtoto kujengewa akili ya kujitegemea na ku make money mapema
In this day and age the only sure way of making money is to write a book about making money...
 
Ajira hasa za #Ualimu_masomo_ya_Sanaa ni mwiba mkali kwa serikali.Leo tunabaguana kwa michepuo kabisa eti sayansi ni ngumu?!! kabisa! kweli?
Dawa tayari imeiva.Kila wahitimu wa fani zote zenye makandokando tangu zama hizi zianze anafahamu nini cha kufanya.
Miaka tuliyokaa ni Masters&PhD tosha na kile kilichofundishwa chuoni kwa mara ya kwanza kitaonekana.
Vijana Amka,acha Ukasuku.
 
Vijana wasomi wamekata tamaa hii inasikitisha. Nadhani kuna mtu akidonsoka ghafla hata leo watu hawatamlilia bali watafanya tafrija fupi kumshukuru Mungu huku bendera inapepea nusu mlingoti.
 
Wewe tafuta hela wewe, bhakresa kaajiriwa wapi? Mo Manji Masawe Archimwene? Hata kunengua ka Diamond nako unataka serikali ikuwezeshe? Pumbavu wewe hebu weita mpe bia huyu fala, hi weekend ya mshahara unapeta mambo ya ajira hapa, halafu hi bar hovyo tu wahudumu hawana makalio

Hahaha aisee
 
Umepata ajira ktk kampuni ambayo mzee wsko alikuwa ansjuliksna. Hiyo yamaanisha bila kujuana pengine bado ungekuwa kitaa kama mm. Ila hongera sana. Hapo ndo tulipo fikia na tunakoelekea ni pabaya zaid hasa public sectors
Kweli, pengine ningekuwa kitaa au nafanya kazi za kubahatisha
 
nimesomea ualimu na nafanya kazi ya ualimu lakini sijaona mtoto wa tajiri au kigogo ni mwalimu. mimi sijaona jamani. na walimu wengi ni masikini sana kwa sababu ya historia za kimasikini.


ova
Kama ulichukua HGK unategemea ungekuwa Dr?
 
in this day and age publishing can be free..just marketing ndio inahitaji nguvu.., by the way my point is even the telling to people (of how to make money) is a business of making money..,
ndio coz kwa asilimia kubwa watu wako desperate na uchumi na ukitoa kitabu watahisi unasema kweli hata kama idea zako hazina uhalisia
 
Nilishangaa kusikia yule kijana aliye fariki kwenye ajali ya ndege, mtoto wa mkuu wa majeshi kumbe alikua ameshapata ajira ATCL, na hapo kujuana lazima kupo, inafika wakati hata kijana/ndugu yako akiitwa kwenye interview unajua fika hiyo ni geresha tu kwani kuna ambao wameshaandaliwa
Elimu yake pia inaruhusu
 
Habari ndugu zangu. Kumekuwa na wimbi kubwa sana la ukosefu wa ajira kwa miaka ya hivi karibun hali ambayo inakatisha tamaa na juhud za kuihangaikia elimu hasa kwa watu wenye kipato cha chini kulinganisha na miaka ya nyuma. Kukosekana kwa nafasi nyingi za ajira ni tatizo ambalo limeanza mwaka 2015/2016 ambapo kimbilio la wengi hasa maskini ktk uwalimu, udaktar na uanajeshi wamekosa ajira. Kimbilio la watanzania hasa wa kipato cha chini ilikuwa ni katk hizo nafasi kwan haikuhitaj rushwa wala kujuana ili upate ajira.

Watu wote waliokuwa wanahitim vyuo vikuu bila kujali ni chuo gan, dini gan, anaitwa nani au ni mtoto wa nani walipataajira kwa pamoja. Kila mtoto aliyejitahid ktk masomo alisomeshwa kwa hali na Mali na huku akipewa majukum angali yupo masomoni kuwa maliza uje utukomboe.

Utukomboe hapa ilikuwa kwanza ni kuwajengea wazaz na kuwasomesha wadogo zako na kubadilisha hali ya maisha kw ujumla. Na haya yote yaliwezekana kwa uhakika wa ajira rasmi kutoka serikalin. Huu ni ukweli usioshaka kuwa hakuna mzazi au mlezi yeyote Yule ambae anajnyima ili msomeshe mtoto kisha mtoto wake akose ajira aanze kuhangaika mtaani kujitaftia vi miamia eti kajiajir kw jambo ambalo linafanya na mtu ambae hata shule ya upili haijui. Ukosefu wa ajira unawatesa sana wazazi maskin waliosomesha kwa shida kulikon hata aliekosa ajira.

Baada ya kuyasema haya mm binafsi naona kuwa tulipofikia au tnakoelekea ajira zote ambazo zilikuwa ndio kimbilio la walala hoi maskini zitakuwa ni za watoto wa watu mashuhuri wenye heshma na vyeo. Yan kuanzia WALIMU, madaktar na wanajeshi watakuwa ni watoto wa mawazir, wabunge madiwan wakuu wa mikoa na wilaya wakurugenzi na mfano wa hao.

Yani tulikofikia mtoto wa maskin kupata ajira itakuwa ni ngumu sana na nilazima uwe na mtu unamjua juu la sivyo utabaki kuwa mzee wa busara mtaani. Nasema yote haya mana mm pia ni muhanga wa hili. Mpak saivi mwaka w 4 huu sina ajira mama kila akiskia tu neno ajira kweny radio anaomba sim anapiga. " mwanangu nimeskia wanatangaza ajira redioni hebu fuarltilia" inaniuma sana. Saivi tulipofikia somesha mwanao na umtafutie ajira na Kama huna nafasi ya kufanya hivyo usipoteze hela zako utakuja kumpa mwanao msongo wa mawazo akiwaza namna ya kukuripa fadhila za jitihada zako za kumpa elimu. Badala yake mtengeneze akiwa kijana mdogo aweze kijitegemea mwenyewe hasa akimaliza elimu ya upili ambayo itamfanya ajitambue na kujisimamia.

Usipo amini maneno yangu chukua mifano michache hapa chini
Viongoz wakuu wote watoto wao wana vyeo vikubwa tu nchini hapa kuanzia wastaafu mpaka waliko madarakan. Hata msiba unaotrend saiv wa mtoto wa mabeyo yule dogo nae alikuwa wa majeshi pia. Sasa wakitoka kwenye mi vyeo mikubw kubwa uko wanarudi kwenye ualimu sasa hapo wee kapuku kama Mimi huna chako labda ukalime nyanya na matikit maji ualimu itakuwa kama manager wa benki na hapo maslahi yataboreshwa na matabaka yatatengenezwa. Tabaka tawala na tawaliwa. Yan maskin atazid kuwa maskin na tajir atazid kuwa tajir.

Fikra mgando
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom