Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
Mimi sijawahi kumkubali mchina. Hakika ni mara 100 uibiwe na mzungu kuliko mchina. Mzungu ana aibu katika uizi, anakofaidi anakutengeneza,yaani tungekuwa bado na wazungu mpaka sasa hii nchi ingekuwa kama ulaya,lakini tumewakaribisha hawa wachina,hawa wanakwangua kila kitu lakini hawaleti maendeleo wenyewe wanakubana kwenye mikataba migumu,isiyowezekana. Ona wanavyoiba mpaka magogo,madini,mali asili,lakini hakuna maendeleo wanayotuachia. Sijui kwa nini viongozi wetu hawamuoni mchina kwa jicho la pili? Wako kimaslahi zaidi