Hawa ndio vijana wadogo wanaoshikilia rekodi kufanya mambo makubwa Tanzania

junky

JF-Expert Member
May 11, 2017
413
976
Hawa ndio vijana wenye umri mdogo waliofanya mambo makubwa kuzidi umri wao..

1.Dkt Salim.A.Salim

Huyu bwana akiwa na miaka 19 alikuwa chief au mwakilishi wa zanzibar nchini Cuba..alivyofikisha miaka 22 akateuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Egypt na alivyokuwa na miaka 23 akapelekwa kuwa balozi nchini India alidumu hapo mpaka alivyokuwa na miaka 27 akapelekwa kuwa Balozi nchini China.


2.Yassin Membar

Huyu bwana akiwa na miaka 21 aliteka nyara ndege na kushinikiza rais wa awamu ya kwanza aachie madaraka ..aligonga headline kwenye vyombo vya habari duniani

3.Zakaria Hans poppe na Maganga

Capt Hans poppe akiwa na miaka 25 pamoja na maganga 26 walifanya majaribio ya kupindua serikali lakini majaribio hayo yalizimwa..
FB_IMG_15415087515226828.jpg
images%20(5).jpg
images%20(6).jpg
 
Mwenye kujua umri wa Hans Poppe anijuze tafadhari,nitarudi ku_coment tena baadae
 
Salim katisha hapo... lazima family yake itakua ilikuwa well cennected
Hapana mkuu. Nyerere alienda pemba kwenye ziara aliandaliwa gwaride la chipukizi makamanda wa hilo gwaride alikuwa salim hasan diria na sharif hamad. walionyesha umahiri mkubwa katika kuongoza gwaride Baada ya hafla mwalimu aliagiza wapelekwe shule na baada ya kuhitimu salim alienda cuba diria ujeruman na maalim akateuliwa uwaziri
 
Hapana mkuu. Nyerere alienda pemba kwenye ziara aliandaliwa gwaride la chipukizi makamanda wa hilo gwaride alikuwa salim hasan diria na sharif hamad. walionyesha umahiri mkubwa katika kuongoza gwaride Baada ya hafla mwalimu aliagiza wapelekwe shule na baada ya kuhitimu salim alienda cuba diria ujeruman na maalim akateuliwa uwaziri
Hebu twende taratibu...

SAS amezaliwa 1942...

Mwalimu na wenzake waliunda TANU mwaka 1954... hapo tayari SAS alishakuwa na miaka 12.

Mwalimu alianza kujiingiza kwenye siasa za Znz, somewhere early 1960's... ina maana hapo tayari SAS alishafika 18+

Sasa unataka kutuambia SAS alienda shule ukubwani?! Na kama alienda ukubwani kihivyo, alipelekwa Cuba akiwa na elimu ya darasa la ngapi?

Ukweli ni kwamba, SAS alikuwa kwenye timu machahari ya akina Abdulrahman Babu! Hawa jamaa chini ya Umma Party walikuwa Commies wa kutupwa! Pamoja na "rangi" yao ambayo SAS iliendelea kumwandama kwa mihongo kadhaa baadae, lakini hawa jamaa walikuwa wanamapinduzi kweli kweli ambao by the time, hawakuwaza chochote zaidi ya kumpindua Sultan (Mwarabu mwenzao?)!

Na hii Umma Party ndiyo ambayo ilipeleka vijana wake Cuba ili wakaivishwe ukomunist kama maandalizi ya mapinduzi! Hawa jamaa walikuwa wasomi kwa viwango vya wakati ule na wengine kama Babu, hata kwa viwango vya sasa!

So, mara baada ya mapinduzi na hatimae muungano, Karume aliwaogopa sana vijana wa Umma Party kutokana na usomi wao na vuguvugu lao la ukomunist! Ndio maana watu kama akina Babu wakaingizwa kwenye union government ambako wangekuwa under Mwalimu's wachful na akina SAS ndo hao wakatupwa ubalozi ili ukomunisti wao wakaufanyie huko!

In short, he earned it... hakuna cha chipukizi wala nini!
 
Hebu twende taratibu...

SAS amezaliwa 1942...

Mwalimu na wenzake waliunda TANU mwaka 1957... hapo tayari SAS alishakuwa na miaka 15.

Mwalimu alianza kujiingiza kwenye siasa za Znz, somewhere early 1960's... ina maana hapo tayari SAS alishafika 18+

Sasa unataka kutuambia SAS alienda shule ukubwani?! Na kama alienda ukubwani kihivyo, alipelekwa Cuba akiwa na elimu ya darasa la ngapi?

Ukweli ni kwamba, SAS alikuwa kwenye timu machahari ya akina Abdulrahman Babu! Hawa jamaa chini ya Umma Party walikuwa Commies wa kutupwa! Pamoja na "rangi" yao ambayo SAS iliendelea kumwandama kwa mihongo kadhaa baadae, lakini hawa jamaa walikuwa wanamapinduzi kweli kweli ambao by the time, hawakuwaza chochote zaidi ya kumpindua Sultan (Mwarabu mwenzao?)!

Na hii Umma Party ndiyo ambayo ilipeleka vijana wake Cuba ili wakaivishwe ukomunist kama maandalizi ya mapinduzi! Hawa jamaa walikuwa wasomi kwa viwango vya wakati ule na wengine kama Babu, hata kwa viwango vya sasa!

So, mara baada ya mapinduzi na hatimae muungano, Karume aliwaogopa sana vijana wa Umma Party kutokana na usomi wao na vuguvugu lao la ukomunist! Ndio maana watu kama akina Babu wakaingizwa kwenye union government ambako wangekuwa under Mwalimu's wachful na akina SAS ndo hao wakatupwa ubalozi ili ukomunisti wao wakaufanyie huko!

In short, he earned it... hakuna cha chipukizi wala nini!
Umetiririka vizuri mkuu heko kwako.... inaonekana historia imetulia hapo
 
Hebu twende taratibu...

SAS amezaliwa 1942...

Mwalimu na wenzake waliunda TANU mwaka 1954... hapo tayari SAS alishakuwa na miaka 12.

Mwalimu alianza kujiingiza kwenye siasa za Znz, somewhere early 1960's... ina maana hapo tayari SAS alishafika 18+

Sasa unataka kutuambia SAS alienda shule ukubwani?! Na kama alienda ukubwani kihivyo, alipelekwa Cuba akiwa na elimu ya darasa la ngapi?

Ukweli ni kwamba, SAS alikuwa kwenye timu machahari ya akina Abdulrahman Babu! Hawa jamaa chini ya Umma Party walikuwa Commies wa kutupwa! Pamoja na "rangi" yao ambayo SAS iliendelea kumwandama kwa mihongo kadhaa baadae, lakini hawa jamaa walikuwa wanamapinduzi kweli kweli ambao by the time, hawakuwaza chochote zaidi ya kumpindua Sultan (Mwarabu mwenzao?)!

Na hii Umma Party ndiyo ambayo ilipeleka vijana wake Cuba ili wakaivishwe ukomunist kama maandalizi ya mapinduzi! Hawa jamaa walikuwa wasomi kwa viwango vya wakati ule na wengine kama Babu, hata kwa viwango vya sasa!

So, mara baada ya mapinduzi na hatimae muungano, Karume aliwaogopa sana vijana wa Umma Party kutokana na usomi wao na vuguvugu lao la ukomunist! Ndio maana watu kama akina Babu wakaingizwa kwenye union government ambako wangekuwa under Mwalimu's wachful na akina SAS ndo hao wakatupwa ubalozi ili ukomunisti wao wakaufanyie huko!

In short, he earned it... hakuna cha chipukizi wala nini!
Kuna watu niliwasikia wakisema eti kwenye nchi za kijamaa mtu akipewa post ya ubalozi ni kama adhabu eti wanamfukuzia mbali Hasa akiwa na upeo au mrengo fulani ambao ni pinzani na utawala uliopo!
 
Pamoja na hayo mkumbuke tu kuwa zamani Fursa za Ajira zilikuwa zinawatafuta watu hasa akiwa na umri mdogo. Sasa hivi Thubutuuuuuu
 
Naona hao ni miaka hiyo hivi sasa kuna mtanzania umri miaka 18 anawatesa wazungu huko Cologne, Zurich na Hesse

Naskia huyu kijana ameanzisha yupo na integrations tatu haipiti siku bila kutajwa ulaya na America kwa ujumla ana watu zaidi 45 anaowasimamia
 
Back
Top Bottom