OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,772
- 102,128
Huu ndo wakati wa Kamati Kuu kuchanua,wagombea na watia nia wanahaha kuweka mambo vizuri kwa wajumbe. Kuna watu wametoshana kwenye kura, kuna watu wana tuhuma za rushwa hawana uhakika wa jina kurudi.
Itoshe tu kusema kwamba wajumbe ndio wakati wao huu wa kunyenyekewa na kula vya bure. Anayesema rushwa zinaishia ngazi za chini anyooshe mkono.
CCM si ndio hawahawa? Tuseme PCCB hamjasikia michakato ya kuwawinda wajumbe hawa? Nimeambiwa kigezo cha kuwaengua waliotoa rushwa kinakuwa kigumu kwa sababu hakuna aliyepita bila rushwa. Ukiwatoa ina maana umewatoa wote.