Acha tu waendelee kumvutia mwanamke maana ndio shost yao walioteta pale bustani ya Edeni, kwangu mimi ni adui yangu mkubwa sana
Bora unafuga kuku.. mimi nafuga vuzikiutani utani ujikute umefuga black mamba,akhu! mi sitaki kabisa,kama kufuga ntafuga kuku tu.
Nao ni mfugo mkuu,wote sisi wafugaji sema sekta tofautiBora unafuga kuku.. mimi nafuga vuzi
hujawahi kuona wakifugwa? Hata wasukuma ni wataalam sana wa hii sektaKwa nini ufuge nyoka lakini jamani.....tulishaambiwa watatung'ata kisigino
Kwanini usifuge kuku uje kufuga nyoka wa kuja kukuua
hujawahi kuona wakifugwa? Hata wasukuma ni wataalam sana wa hii sekta
Naikia hawapendi uwasimange/ kuwasema vibaya!Nimefuga koboko a.k .a Black Mamba. Ni mzuri sana na ana upendo wa hali ya juu sana
Daah! Yataka moyo haya.
Mtani nitakuwa wa mwisho kwa kweli. Yaani mi jongoo tu huwa ananitoa jasho ije kuwa nyoka.
Hapana kwa kweli Mtani. Vp we ushaanza kufuga Mtani?
Acha utani wewe,hao wote hawafai ni top rank,black mamba tu ndio hayupo hapo.cobra, vipers, na huyo wa kijani aliyechongoka anaruka kutoka mti mmoja hadi mwingine,( anapaa angani)Aina hizi za nyoka hawanaga sumu mkuu ama hawana athari yeyote kama wakikung'ata
Nimefuga koboko a.k .a Black Mamba. Ni mzuri sana na ana upendo wa hali ya juu sana
Hao wote hapo hawafaiwengi wao hawana simu wala hawang'ati mkuu
kama huyu kiumbe mdogo anakupa presha sasa simba utamuweza mama sabrina?Bora nifuge simba
Kwa nini sasa rafiki?Nitafuga kila aina ya mnyama, ila nyoka hapana na fisi hapana