I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,726
- 10,020
Wanavutia na kupendeza kweli....
Kama mimi...yaani huyu mdudu sitaki ukaribu nae hata kidogoHalafu siku nikiwa na uchu nachinja au mapambo tuu, sifanyi upuuzi huo ni nyoka kwenye runinga tuu namuogopa sembise live yaan hapa pia nimejikaza kuangalia
Mtanii fanya mpango ufuge hata mmoja, hao hawana shida yeyote ni kama paka tu 😜😜😜😀😀😀🏇🏇🏇🏇Daah! Yataka moyo haya.
Si bora nifuge kuku ntakula mayai na nyama...........Hata Akivutia mara mia bado Urafiki Wake Na Binadamu Unabaki kuwa Wa Mashaka Tu.
Mbona Kuna vitu Vingi Sana Vya Kufuga Kabla Hujafikilia Kufuga Nyoka!!.
Ni kweli Mkuu tatizo watu ni waoga tu, hao jamaa hapo juu hawana shida kabisa ni kama kumsukuma mlevi tu 😀😀Nimefuga koboko a.k .a Black Mamba. Ni mzuri sana na ana upendo wa hali ya juu sana
Aina hizi za nyoka hawanaga sumu mkuu ama hawana athari yeyote kama wakikung'ata
Mtani nitakuwa wa mwisho kwa kweli. Yaani mi jongoo tu huwa ananitoa jasho ije kuwa nyoka.Mtanii fanya mpango ufuge hata mmoja, hao hawana shida yeyote ni kama paka tu 😜😜😜😀😀😀🏇🏇🏇🏇
Hahaha Aisee hapo kwa jongoo nahisi ni wanawake karibu wote wanamwogopa sijui amemikosea nini jongoo wa watu 😁😜Mtani nitakuwa wa mwisho kwa kweli. Yaani mi jongoo tu huwa ananitoa jasho ije kuwa nyoka.
Hapana kwa kweli Mtani. Vp we ushaanza kufuga Mtani?
Mimi na nyoka ni vitu viwili tofauti