Hawa NBC vipi? salari yangu mpaka lini?

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
nafanya kampuni ambapo wafanyakazi wote wanaotumia mabenki mengine wamepata mishahara tangu tarehe 27 lakini kuna wafanyakazi wawili, mimi nikiwemo tunatumia NBC kupitishiwa mishahara lakini hadi leo tarehe 30 hatujapata kitu.

kwangu mimi tatizo hili linajitokeza mara ya pili ndani ya miezi mi 4. last time ilibidi mpaka niandamane ndo wakaingiza pesa kwa akaunti tarehe 3 ya mwezi uliofuata.

NBC shida ni nini? Au niandamane tena? mnaboa!
 
Hiyo bank inachelewesha sana mishahara, nakushauri ubadilishe uhamie crdb ..
 
Miaka yangu yote kazi natumia NBC na sijawahi kupata hilo tatizo. Tena mm ndio huwa nawahi kuliko ht wanaotumia benki zingine.
 
NBC kuna tatizo mimi namjua mtu wamemkata mshahara wake kimakosa alafu wakamwambia atarudishiwa after 21 days! Huu ni uhuni ....mshahara asubiri 21days? Mbaya zaidi hadi sasa hajapewa chake! NBC kuna matatizo mno! Wako very slow kusolve problems ...very very slow ....hii benki sijui nini kinaendelea ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom