Hawa Nao Wanapenda Mabadiliko Au Wanakwepa Njaa?
Money comes first, mlitaka wakate kuisupport ccm mbele ya hela na vp kama wao ni ccm damu.. Hata kama ni wewe uko chama kingine ila ukipewa pesa utasupport tu ccm, "anything for money" that's hustlers motto. THINK BIG
Hawa Nao Wanapenda Mabadiliko Au Wanakwepa Njaa?
Yaani hadi 'Ngosha the Don' na 'Northern Rock'!!!??? Nyimbo zote za harakati kumbe wakiwekwa vizuri na nguvu ya pesa wanafyata mikia na kuvaa blauzi za Magamba.Kweli pesa mwanaharamu.
Amini usiamini hawa wote walimpigia kura Dr Slaa, hapo wako kazini tu.
Mimi siamini ktk ujinga. Hawa wana jukumu kubwa la kijamii kuliko CCM il ni uelewa mdogo! Hapo kwenye blue mkuu ukitangaziwa hela sasa hivi uko tayari kufanya ushoga??? Kazi kazi haramu kaka????Amini usiamini hawa wote walimpigia kura Dr Slaa, hapo wako kazini tu.