hawa madogo vip?...wanaomba nauli daily!!

NG'ADA

Senior Member
Sep 2, 2011
152
15
...kuna wimbi la vijana wa shule secondary na msingi...wanaomba sana barabarani...mara naomba mia,..nimepoteza nauli...mara naomba hela nikanunue hiki...hivi wakikutana na watu wakawapa with conditions itakuwaje?alaf wengi ni wakiume...
 
...kuna wimbi la vijana wa shule secondary na msingi...wanaomba sana barabarani...mara naomba mia,..nimepoteza nauli...mara naomba hela nikanunue hiki...hivi wakikutana na watu wakawapa with conditions itakuwaje?alaf wengi ni wakiume...
Kama unayo na amekupa sababu yamsingi msaidie.....
 
utakutana na mmoja atakuambia amepoteza nauli, kesho au baada ya siku mbili anakutana na ww amesahau kua alishakuomba, anaomba tena...je anapoteza kila cku?na kwa nn yy tuu?
Kama unayo na amekupa sababu yamsingi msaidie.....
 
mhhhh, mbona ni kawaida sana tu mkuu kwa mjini. nanii mmemuona wapi wakuu namtafuta humu
 
Wasaidie tu, madogo wanakula. Wengine wanapewa nauli kamili tu hakuna hata hela ya aiskrimu.
 
mimi nawapenda sana waislam kwa hili kwa kweli wanawapa sana hawa wanafunzi wanapowaomba na bila shaka with no any conditions, hata kwenye daladala wenzetu waislam ni wepesi sana kuwalipia wanafunzi. sijui kwanini sisi wakristo tunakuwa wagumu hivi, na bila shaka mleta mada ni mkristo mwenzangu, jamani tutoe kwa kuwa tutakufa tutaviacha.
 
acha uchoyo wewe mimi huwa nikipanda daladala na watoto wa shule huwa nawalipia nauli wala sisubiri waniombe mbona unauza jina baa, 150 kitu gani wewe
 
utakutana na mmoja atakuambia amepoteza nauli, kesho au baada ya siku mbili anakutana na ww amesahau kua alishakuomba, anaomba tena...je anapoteza kila cku?na kwa nn yy tuu?

Ndio mana nikasema kama unayo mpe kaka kwani kumpa mtu 150 kuna tatizo gani na ni mtoto wa shule? toa tuu hujui nani atakusaidia maishani,sadaka zenyewe ndio hizo sio utoe kwenye watu wengi wakuone ukiwapa hao watoto ndio wanahitaji sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom