USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
Kumezuka tabia ya wanajamii forum wenzetu kujiita/au ni halisi wa Phd humu ndani sioni tatizo kwa hilo .
Tatizo ni mbona vichwa maji sana ukikuta kuchangia thread hadi unashangaa huyu ngumbalu wa wawapi ila anajiita Dk au Phd .
Mbona vilaza sana au Phd za michongo na majina Halisi
USSR
Tatizo ni mbona vichwa maji sana ukikuta kuchangia thread hadi unashangaa huyu ngumbalu wa wawapi ila anajiita Dk au Phd .
Mbona vilaza sana au Phd za michongo na majina Halisi
USSR