Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Chadema msitetereke. Kama kuna mtu analeta usaliti ati kwa kisingizio yeye ni 'mbunge kijana machachari'. Ati yeye ni drogba anaweza sajiliwa na timu yoyote. Kama anaenda kinyume na sera na maamuzi halali ya vikao halali vya chama. Mimi nasema fukuzilia mbali huko sasa na mapema.
Sisi WaTz hatutetereki.
Nitoke chadema niende wapi? CCM? CUF? NCCR(alikoharibu kiraracha)? wapi?
Kama ninaweza kutoka chadema, basi bora niende kaburini kabisa maana sioni chama mbadala.
Fukuza. Hafu tuone huyo ataibuka kuwatetea kwenye majukwaa ya siasa kama hajapigwa jiwe la kisogo. Kama Mtikila Tarime.
Nimemaliza.
Sisi WaTz hatutetereki.
Nitoke chadema niende wapi? CCM? CUF? NCCR(alikoharibu kiraracha)? wapi?
Kama ninaweza kutoka chadema, basi bora niende kaburini kabisa maana sioni chama mbadala.
Fukuza. Hafu tuone huyo ataibuka kuwatetea kwenye majukwaa ya siasa kama hajapigwa jiwe la kisogo. Kama Mtikila Tarime.
Nimemaliza.