Hawa Kaizer Chiefs wana watu na uchumi wanao

Leoookaziiimeendahiviii

FB_IMG_16214539158814135.jpg


FB_IMG_16214538144510299.jpg


FB_IMG_16214538213171177.jpg


FB_IMG_16214538270180334.jpg


FB_IMG_16214538321430850.jpg


FB_IMG_16214538381937726.jpg


FB_IMG_16214531929166512.jpg


FB_IMG_16214538434416832.jpg


FB_IMG_16214538481553668.jpg
 
Pole sana mkuu, mechi ijayo tuliza matako nyumbani utakuja gongwa na gari.
Mechi iliyopita niliweka mkeka wa stake 50 elfu nikampa Simba.
mechi ya kwa Mkapa naweka mkeka wa laki single bet Simba anashinda kuanzia goli nne.

Mkeka wa pili naweka elfu 20,000 Simba kuongoza kwa magoli kipindi cha kwanza.

Mkeka wa tatu No GG stake 30,000tsh.
Jumla 150k.
Simba nguvu moja.
 
Sasa SA na Tz mbona tumetofautian vingi sana.
Ndo maana tuko uchumi wa kati so tunajikuna tunapofikia
 
Hizo goli hazirudi! Hata wakiondoa kipa hamzirudishi labda ndotoni.
Izo goli zinarudi na nyongeza juu,tena Kaizer wawe full mkoko asipungue hata mchezaji wao mmoja muhimu.
Yule Manyama wao kwa Mkapa atakua mifupa.
Na yule mzungu pori mwenye ndevu za O zitabadilika kuwa ndevu za W.
 
Kaiser Chief wanavaa jezi inayozaminiwa na NIKE wakati mikia wanavaa maronya ya vunja bei. Kwa mantiki hiyo unafikiri ni rahisi mikia kupata ushindi?
 
Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Soma dogo, real life utakuja ulikute.
 
Al Ahly pia tim yao ni expensive sana kama hap Keizer lakini tuliwalambisha mchanga.
 
K
Kwani wafanyakazi wa Tz na wa SA wanalingana mishahara? Na je, Mshahara unacheza mpira? Ili timu iwe bora inahitaji vitu vingi sio salary tu
Huwezi chukua mcheza bora zaidi ukamlipa kidogo.

Wage bill tu inakuonesha ubora wa hiyo timu. Inakuhakikishia kuwa inafanya vizuri mara nyingi zaidi kuliko kufanya vibaya.

Kinyume chake sasa,watazame utopolo.
 
Lile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu.

View attachment 1786823

Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000

Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.
Pia usisahau hawa kaizer chief peke yao ndo huwa wanawafunga mamelodysundown
 
Back
Top Bottom