Labda meza ya kahawa kwa sababu ina vikombe vyepesi.Tumebaki kujifariji kwamba wakija kwa mkapa tutapindua meza n
Hizo goli hazirudi! Hata wakiondoa kipa hamzirudishi labda ndotoni.Bwege katufunga kibwege,ngoja aje kwa Mkapa hatoamini macho yake.
Kama sh. 156m za Bongo.
Mechi iliyopita niliweka mkeka wa stake 50 elfu nikampa Simba.Pole sana mkuu, mechi ijayo tuliza matako nyumbani utakuja gongwa na gari.
Izo goli zinarudi na nyongeza juu,tena Kaizer wawe full mkoko asipungue hata mchezaji wao mmoja muhimu.Hizo goli hazirudi! Hata wakiondoa kipa hamzirudishi labda ndotoni.
Soma dogo, real life utakuja ulikute.Mshahara wa huyo jambaz ni mishahara ya wachezaj 25 wa Simba ,na mishahara ya wachezaj 40 ya utopolo, mudi aache masihara kabisa awekeze kwenye mpira kama kwel yupo serious .
Yaan watu hapo simba wanakula m5 kwa mwez wengine had 2m huo ni utan ,ifike wakat mchezaj wa kiwango cha chini hapo simba angalau alipwe 15m
Huwezi chukua mcheza bora zaidi ukamlipa kidogo.Kwani wafanyakazi wa Tz na wa SA wanalingana mishahara? Na je, Mshahara unacheza mpira? Ili timu iwe bora inahitaji vitu vingi sio salary tu
Pia usisahau hawa kaizer chief peke yao ndo huwa wanawafunga mamelodysundownLile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu.
View attachment 1786823
Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000
Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.