Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Habari zenyu wakuu?.
Aise samahani kuuliza si ujinga. Mimi ningetaka kuwajuwa hasa hawa jamiiforums ni kina nani? nini lengo lao la kuanzisha forum bodi hii?, naweza kuonana nao kwa macho?, na je huwa wanapatwa namatatizo/changamoto zozote? ni kama zipi hizo changamoto?, Je wamiriki wa jf ni wana-Chadema wote?.
Nimeshasema kuuliza si ujinga.
Aise samahani kuuliza si ujinga. Mimi ningetaka kuwajuwa hasa hawa jamiiforums ni kina nani? nini lengo lao la kuanzisha forum bodi hii?, naweza kuonana nao kwa macho?, na je huwa wanapatwa namatatizo/changamoto zozote? ni kama zipi hizo changamoto?, Je wamiriki wa jf ni wana-Chadema wote?.
Nimeshasema kuuliza si ujinga.