Mwezi wa saba mwishoniHivi awamu yapili hua inatolewa baada ya muda gani?
Wanabodi habari ! Tayari Tamisemi imeachia majina ya wanafunzi wanaotarajia kuingia kidato cha awamu ya pili.
Unaweza kuyaona majina kwa kufungua au kubofya link chini
http://www.tamisemi.go.tz/noticeboa...A-WANAFUNZI-WATAKAOPANGIWA-AWAMU-II-light.pdf
Mbona tangu jana watu tumeshaiona hiyo orodha!! wewe ndo umeiona leo?Wanabodi habari ! Tayari Tamisemi imeachia majina ya wanafunzi wanaotarajia kuingia kidato cha awamu ya pili.
Unaweza kuyaona majina kwa kufungua au kubofya link chini
http://www.tamisemi.go.tz/noticeboa...A-WANAFUNZI-WATAKAOPANGIWA-AWAMU-II-light.pdf
Mbona tangu jana watu tumeshaiona hiyo orodha!! wewe ndo umeiona leo?
Link ilikuwepo ila kulkuwa na tatizo kwa server zaoNi orodha ya second selection hiyo link imetoka leo mkuu ya majina
Watakaoenda ni majina yaliyopo kwenye second selection tu wengine wanaweza kWenda shule za private,polisi au jeshiNao mliowaachaa muwaangalie pia
kweli mataahira hayaishi hapa mjini hiyo taarifa ungempa mama yako ili mtajirike kwanza tuige mfano