NGOMEKONGWE2021
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 543
- 1,063
Kumbe ndiyo alichokuwa anaomba humu?
Tunamtengenezea utaratibu wa kunawa maji ya Bahari.Kwahiyo yule NJAA wamemwacha na njaa zake??
ngumu sana. angella kizigha kilaza wa kutupwa huyo sema nnya yambebe yaheeWengi hapo sijuwi kama wataweza debate na wakenya, rwanda, gandas
Ova
Nasikia ni Pascal MayallaMbona bado mmoja si wanatakiwa kumi au?
Mkuu umesahau walivyo mfanyia marehemu Lyatonga? Mzee alilia wakamtupia parole board. Hawana urafiki hao.Yaani CCM na wingi wao wameshindwa kumpa Addo Shaibu Katibu mkuu wa CHAMA mshirika wao ACT?
Kweli CCM haina urafiki hata kidogo na hili lazima liwe fundisho kwa mzee wa Ngogwe Zitto kuwa tamaa mbele mauti nyuma.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ukitumia akili ya kuzaliwa utajua kuwa hii list imetoka ikulu kwa mama wa ushungiView attachment 2364755
- Ndg. Angela Charles Kizigha
- Ndg. Nadra Juma Mohamed
- Dkt. Shogo Richard Mlozi
- Dkt. Abdullah Hasnu Makame
- Ndg. Machano Ali Machano
- Ndg. Mashaka Halfan Ngole
- Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
- Ndg. James Kinyasi Millya
- Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
Wakati wenzake wanapitishwa yeye alikuwa jikoni anakomba ukoko wa wali wa maharage.Kwahiyo yule NJAA wamemwacha na njaa zake??
Sasa kama wanachaguliwa na Comedian kama hawa unategemea nini?View attachment 2364888
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Anamjua nani?. CCM ina wenyewe na yeye si mmoja wao.Paskali wapi?
Unakijua kinge au unakisikia?
Wampe bro wetu pasko..Mbona bado mmoja si wanatakiwa kumi au?
Huyo unayemsema ni CEO wa National College of Tourismna pia ni Lecturer wa mambo ya Tourism and marketing management OUT anaitwa Shogo Mlozo Seyodeka amechaguliwa amepita wangemuacha kila mtu angeshangaa.Kuna yule Mmama Doctor na CEO Sijui wa wapi na pia ni Lecturer sijui.
Very Smart kichwani,ila katoswa kwa sababu gani sijui.Yule angeweza mijadala kwa Jinsi nilivyomsikia akijinadi