Hawa hapa Wabunge wapya watakaoiwakilisha Tanzania EALA

The Sheriff

JF-Expert Member
Oct 10, 2019
603
1,760
  • Ndg. Angela Charles Kizigha
  • Ndg. Nadra Juma Mohamed
  • Dkt. Shogo Richard Mlozi
  • Dkt. Abdullah Hasnu Makame
  • Ndg. Machano Ali Machano
  • Ndg. Mashaka Halfan Ngole
  • Ndg. Ansar Abubakar Kachwamba
  • Ndg. James Kinyasi Millya
  • Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe
 
Hawa wawe tofauti na kina Kimbisa, Makongoro maana wabunge wa EALA toka Uganda, Kenya na Rwanda tunawasikia wakichangia hoja lakini wetu wa kutoka Tanzania wamekuwa mabubu .
Sasa kama wanachaguliwa na Comedian kama hawa unategemea nini?
IMG-20220922-WA0011.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom