mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Uliona wapi mvaa hijab akawa na akili?
Umesahau pia kama Zitto in mvaa baraghashia lakini watu wote kwa hili wamemkubali ukiwemo na wewe!
Lakini tuende mbali zaidi kwa kusema, wote waliohusika kuchota mapesa kwa mifuko ya Rambo hamuna mvaa hijabu wala mvaa baraghashia.
Nadhani hapo itakua imekaa sawa.
Siku nyengine weka akiba ya maneno