Mama salma alikulia na kutunzwa na familia ya hawa ghasia.wamekuwa pamoja.wana undugu wa mbali kidogo lakini 1st lady ndo mpiga debe wake na hata afanye madudu gani msitegemee ataondolewa..
Mkuu JF sehemu ya porojo ebu tuambie huo uchovu wake.
swali zuri sana
Hebu na wewe tusaidie outstanding performance yoyote from her
Leo nimeamini kweli wewe unatumia masaburi kufikiria IT ni (information Technolgy) nikasema ndiye aliyekuwa amtetea humu Pambaf ulizia na uk ni nini?Eti ni IT, mtu atakuwaje IT. Usimuhisishe Ghasia wa Mzumbe na huyu mama. After all kama mtumishi wa mzumbe alikua eligible kupata scholarship za utumishi.
Binafsi sijui utendaji wake, lakini katika kipindi chake utumishi wa umma umekosa msisimko, na kuplteza mvuto kwa watumishi. ikiwa ni pamoja kurudisha mambo ambayo mkapa alikua ameyaboresha kupitia miradi ya psrp. Hakuna reforms za maana zilizofanyika katika kipindi chake.
jk analipa fadhila...msimlaumu ila mjilaumu kwa kumchagua kuwa rais...
Ni kweli licha ya umuhimu mkubwa wa wizara hii haijawahi pata waziri mbunifu,mchapakazi na mzalendo hasa! Tunapoona ujenzi holela ktk miji yetu,miundombinu mibovu ktk miji na vijiji vyetu,zahanati na shule mbovu zisizokua na vifaa zote hizi ni kazi za wizara hii! Mimi huwa nawaambia marafiki zangu kwamba miji yetu imejaa makelele kwasababu wizara hii imeshindwa kazi! Kulala na kupata usingizi ktk miji yetu imeanza kuwa tatizo kubwa.Kuna tatizo kubwa serikali hii na TAMISEMI, ile wizara ni kubwa zaidi ya zote na ina serikali zake yenyewe, sasa kuweka Ghasia pale ni another suicidal attempt kwa CCM
TAMISEMI kamwe haiwezi kuiinua CCM kwa njia zilizopo sasa, za kutumia propaganda, informants wa local governments na a weak system ya "mwenzetu"... Tamisemi ndiyo inayodefine utendaji wa serikali nje ya DAR
I think serikali ya CCM ni muhimu kuwa more strategic na kungamua kuhusu uzito wa TAMISEMI
Hawa ghasia ni dada wa salma k****te je ulikuwa hulijui hilo,halafu malima mbali na ukigogo wa baba yake lakini pia Di*i nayo imetumika
Ukweli nimetamani kukushushia matusi lakini busara yangu imenizuia. Hivi wewe kuwa afisa mipango wa wilaya inalingana na kuongoza wizara muhimu kama hiyo?
Mimi hiki kitu kilinishangaza sana. Kumteua Hawa Ghasia kuwa waziri wa TAMISEMI? My God. Hakuna wizara muhimu kama hii kwa huduma za serikali na wananchi. Kwa makosa ya kipumbavu kama haya ccm itaendelea tu kujichimbia kaburi. Hii ndio wizara inayounganisha wananchi na serikali. Hebu angalia Kenya wanavochukulia wizara hii kwa umakini mkubwa. Mtu anayeshikilia wizara hiyo ni mtu makini kwelikweli. Siyo mtu yeyote tu.
naona sasa mnaleta 'vicious circles'
kama vipi tufanye maandamano tushinikize atolewe kwenye hiyo wizara...apangiwe jinsia na watoto!
jk analipa fadhila...msimlaumu ila mjilaumu kwa kumchagua kuwa rais...
Mama huyu ana kiburi na kujiamiani sana kwa kuwa anajua analindwa na 1st lady!
Kumbuka aliwahi kuwaambia watumishi wote wa serikali ni vihiyo wakati watumishi wakidai maslahi bora ya kazi!
nimecheka sana hasa neno...'chezea hangine'...chezea hangine siyo hapo kwa shemeji yetu. Ana kazi maalumu huyo.