hawa ghasia na salma kiikwete ndugu baba mmoja??

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,529
8,614
jamani kuna mtu anatokea LINDI kwa kina salma ameniambia kuwa mama salma kikwete na hawa ghasia ni ndugu ....yaani mtu na dada yake au kitu kama hicho..

nikajiuliza pamoja na kuwa si kosa ndugu mwenye uwezo kupewa mamlaka tu kwa sababu ya nasaba..na mifano ipo...,lakini kwa nini kama hawa wawili ni ndugu...uhusiano wao usiwekwe wazi jamii ikajua ...ili iweze kumpa hawa ghasia fursa ya kuangalia utendaji wake kama yeye na si kwa sababu ni dada au mdogo wake na mke wa rais????
 
Hata mimi nilisha wahi kusikia hilo ikiwa ni pamoja na yule Mkuu wa Mkoa wa Iringa Hajati Amina Mrisho naye hivyo hivyo lakini kuna wanaoelewa zaidi ya hapo watujuze zaidi.
 
Hata mimi nilisha wahi kusikia hilo ikiwa ni pamoja na yule Mkuu wa Mkoa wa Iringa Hajati Amina Mrisho naye hivyo hivyo lakini kuna wanaoelewa zaidi ya hapo watujuze zaidi.

babu kuhusu mkuu wa mkoa wa iringa ...hajjat amina said..hana undugu kabisa na kikwete...au mama salma..yeye ni mwenyeji wa KITETO kule kuna watu wapo mpakani na tanga ..yupo kwenye kabila hilo ni JIMBO LILE LA MAREHEMU LOOOSURUTIA...mumewe ni mtu wa zanzibar na ni kada wa chini kwa chini wa ccm...inawezekana kupata hicho cheo kuna influence ya mumewe..si unajua jk amekaa sana zanzibar..akiwa katibu msaidizi pale kisiwandui...hadi ana binti kule...maana yeye kwenye siasa hakuwepo kabisa..alikuwa idara ya takwimu na baadaye NMB..it was a surprise...
 
Jamani ebu tafuteni data kamili,huyo Salma na Lindi wapi na wapi? Salma ni mwenyeji wa Rufiji ya Delta sehemu inaitwa Nyamisati na kuna wanaosema kwamba yeye ni Mnyagatwa moja ya koo ktk kabila la Wandengereko! Huko Lindi aliwahifanya kazi,lakini wenye data zaidi watoe ufafanuzi.
 
ndiyo ni kweli,Mama Salama ana Undugu wa karibu na mama HAwa Ghasia,Ndio maana yule mama amebakizwa ikulu ili aweze kulinda maslahi yao.Ni Tabia ya kikwete na Mzee Luhanjo kupachika Ndugu wao wa karibu katika sehemu mbalimbali ili wapate News.MzeeLuhanjo keshaanza kupachika Ndugu zake anaotoka nao kijiji kimopja katika sehemu Nyeti.naandaa Ripoti kamili,Nadhani baada ya Mwezi wa Sita nitakuwa na majibu mazuri sana..
 
Jamani mimi natoka kusini na bahati mzuri nimefanya kazi na Hawa Ghasia katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi akiwa kama Afisa Mipango wetu wa Wilaya.
Ukweli ni kuwa hawa ni watu wawili tfauti na hawana unasaba wowote,sijui tatizo Mama Kikwete kuwa mtu wa Lindi na Hawa Ghasia kutoka kusini.
Hawa Ghasia ni mwenyeji wa Mtwara vijijini na Salma Kikwete ni mwenyeji wa Lindi mjini.Pamoja na tofauti hizi kubwa ni kuwa Hawa Ghasiaanatoka ktk familia za kimakonde wa bara na Salma yaonekana na mchanganyiko na makabila mengine lakini ni mmakonde wa pwani(wamalaba).Ata mume wa Ghasia ambaye ni Yahya hana nasaba zozote na hawa watu hivyo si sahihi kusema kuwa amebakishwa kwa maslahi ya Kikwete.Na chakujiuliza ni kuwa Utumishi kuna maslahi gani pale?Mama Nagu mpaka anamaliza maekuwa na kashfa pale,kama wangetaka alinde maslahi yao nadhani wangempeleka madini,Hazina,Maliasili hizi ndizo sehemu ambazo kwakweli Mawaziri wanaweza kulinda maslah.
Kikwete amemweka yule mama ni kwasababu mara nyingi ktk Utumishi wa Umma serikali za Mitaa wamekuwa wakitupwa nyuma sasa uwepo wa Ghasia pale ni mzuri ukilinganisha ana uzoefu wa kutosha wa serikali za mitaa na alikuwa Afisa mipango wetu Bomba tu.
Na kilichamvutia Kikwete ni kuwa huyu mama amepata Ubunge jimboni kwa kumwangusha mbunge anayetetea jimbo sio viti maalumu.
Sifa anazo na anastahiki kuwa Waziri.
NI UZUSHI MTUPU KUSEMA HAWA GHASIA NA SALMA KIKWETE WANAUDUGU WOWOTE. Nadhani tujadili mambo ya uhakika na si kuja na tetesi kama hizi kwakuwa hawa wote ni wa kusini.
 
Back
Top Bottom