singeweza kumtosa huyu mama msema ovyo, kisifa hana hata moja yaani hata kuwa mkurugenzi hana sifa. ishu hapa ni binamu na salma kikwete, angemnyima uwaziri, basi nyumbani kusingekalika. si unajua uongozi jamaa anagawa kama pipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.