Skyblue
Senior Member
- Jan 3, 2014
- 195
- 54
Jamani habarini , Naomba kwaanaewajua vizuri hawa Funds for Africa, kuna Post yao ya field officer niliombaga sasa wamenijibu kwa kunitumia attached form inayonitaka nijaze hiyo moja, lakini pili wamenitaka nifanye kitu kinaitwa Psychometric Assessment tests ili Report yake niweze attached pia maana pana cheti ukipiga hii...na score marks ila sasa wanahitaji pesa wameweka viwango kwa hii field officer dollar 50.
Je, ni kweli na kwanini wahitaji pesa. Msaada kwa mwenye kuwafahamu hawa jamaa wanaoitwa Funds for Africa.
Je, ni kweli na kwanini wahitaji pesa. Msaada kwa mwenye kuwafahamu hawa jamaa wanaoitwa Funds for Africa.