Daaaah unyonyaji wa hawa jamaa umezidi jmn serikali tuokoeni vijana wenu na hali hii unyonyaji ni mkubwa mpk tunajishtukia eeeh mola ikumbuke hii nchi yenye viongoz wasiojali raia zao bali kuwakumbatia wageni mishahara yao ni midogo eeeeh Mungu baba juu mbingun ckia vilio vyetu tuokoe na serikali hii iliyojaa walafi wa pesa na madaraka na kuacha wajibu wao kwa raia.