Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,410
Yaani huyu mkubwa ana miaka 29 sasa, mjuaji sana, mbishi kama nini yaani alivyomaliza na masters basi imekuwa shida zaidi. Nawaza nasema sijui kama hta anadumu na wanaume maana ana ubabe flani hivi na ukichkulia ana uzuri wa kawaida tu sema miguu ndo balaa...mizuri sana.sura kafanana na mzee rangi kachukua kwa mama.huyu kwa miezi mitatu anaweza pika mara moja akijisikia.
Huyu mwingine yeye ni miaka 26. Hajui kupika. Yeye anapenda u sister du acha kabisa. Yaani ni safari tu mara Zanzibar,mara Bagamoyo,mara Arusha.... Pesa zake mwenyewe.anyway....niseme kweli.sijui kama ni zake mwenyewe au vipi. Ingawa anafanya kazi nzuri tu. Anabadilisha Simu kila uchwao na gari. Nashangaa sijawahi sikia analeta mchumba home.
Hajui kupika, wakati wote vidole kasambaza na kucha kama za shetani...hajui lolote.sijui kwnye kutiana. Naye mjeuri kama nini. Nawaza ataolewa kweli huyu? Mmh...sijui.
Huyu wa tatu....yeye ni mrembo hasa.ana mwili,rangi na sura. Ila kichwani ndo hivyo. Ana diploma ya kulazimisha sana. Naye hajui kupika,hajui kuwa na maneno matamu....yaani kwa kushushua wenzie ni kiboko.mpaka wanamwogopa kwa majibu yake miaka 22 anachojua ni kiingereza tu kama mmarekani. Kichwani...kajaza majibu ya kukera tu.
Nasema sijui. Kwa kweli sijui.sijui kabisaaaaaa ....hawa dada zangu sijui. Wapo tu home mpaka muda huu wanazagaa zagaa.Nikipiga simu namuuliza mama wameleta hata wachumba ? ananambia tuwaombee tu. Why kumsumbua sir God mitoto yenyewe ndo hivyo. Sijui. Mi yangu macho tu.
Huyu mwingine yeye ni miaka 26. Hajui kupika. Yeye anapenda u sister du acha kabisa. Yaani ni safari tu mara Zanzibar,mara Bagamoyo,mara Arusha.... Pesa zake mwenyewe.anyway....niseme kweli.sijui kama ni zake mwenyewe au vipi. Ingawa anafanya kazi nzuri tu. Anabadilisha Simu kila uchwao na gari. Nashangaa sijawahi sikia analeta mchumba home.
Hajui kupika, wakati wote vidole kasambaza na kucha kama za shetani...hajui lolote.sijui kwnye kutiana. Naye mjeuri kama nini. Nawaza ataolewa kweli huyu? Mmh...sijui.
Huyu wa tatu....yeye ni mrembo hasa.ana mwili,rangi na sura. Ila kichwani ndo hivyo. Ana diploma ya kulazimisha sana. Naye hajui kupika,hajui kuwa na maneno matamu....yaani kwa kushushua wenzie ni kiboko.mpaka wanamwogopa kwa majibu yake miaka 22 anachojua ni kiingereza tu kama mmarekani. Kichwani...kajaza majibu ya kukera tu.
Nasema sijui. Kwa kweli sijui.sijui kabisaaaaaa ....hawa dada zangu sijui. Wapo tu home mpaka muda huu wanazagaa zagaa.Nikipiga simu namuuliza mama wameleta hata wachumba ? ananambia tuwaombee tu. Why kumsumbua sir God mitoto yenyewe ndo hivyo. Sijui. Mi yangu macho tu.