Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Naona CNN wana mpango wa kuvuruga hotuba ya JK ,pengine wanaona Tanzania ita outshine huu upuuzi na Nyerere kuibulia km alivyostahili.
Ni ngumu kunfcha nyerere.
NAdhani Ikulu itahitaji tupatia hiyo hotuba hapa JF
note:Nimebadili CCM kuwa CNN.niliandika kimakosa ila kuna mchangiaji karekebisha.Aliyechangia asijione mkosefu ktk hili.
Ni ngumu kunfcha nyerere.
NAdhani Ikulu itahitaji tupatia hiyo hotuba hapa JF
note:Nimebadili CCM kuwa CNN.niliandika kimakosa ila kuna mchangiaji karekebisha.Aliyechangia asijione mkosefu ktk hili.