kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Naona CNN wana mpango wa kuvuruga hotuba ya JK ,pengine wanaona Tanzania ita outshine huu upuuzi na Nyerere kuibulia km alivyostahili.
Ni ngumu kunfcha nyerere.
NAdhani Ikulu itahitaji tupatia hiyo hotuba hapa JF
note:Nimebadili CCM kuwa CNN.niliandika kimakosa ila kuna mchangiaji karekebisha.Aliyechangia asijione mkosefu ktk hili.
Hiyo hotuba unayotaka waipe airtime ya kutosha itakusaidia nini wewe? kaa tujadili mambo yetu ya leo na kesho achana na Hotuba za kwenye MISIBA hazitakusaidia kitu.