imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Hi wana jf a
leo nimeshangazwa tena na hawa ccm wako huku manzese,
achana na hali mbaya na matatizo yanayoikumba nchi hii yenye herufi "T"wao wanawachukua watoto wa primary wanawacremisha mashairi na ngonjera zenye kuiponda Chadema,
wamejaza wasaliti wa nchi hii (wanachama) tele wanaingia kwa magari na uniform zao du wanakera.
Ok huenda haya ndo wanayoyaweza.
Mungu mhurumie mtanzania asie na hatia.
leo nimeshangazwa tena na hawa ccm wako huku manzese,
achana na hali mbaya na matatizo yanayoikumba nchi hii yenye herufi "T"wao wanawachukua watoto wa primary wanawacremisha mashairi na ngonjera zenye kuiponda Chadema,
wamejaza wasaliti wa nchi hii (wanachama) tele wanaingia kwa magari na uniform zao du wanakera.
Ok huenda haya ndo wanayoyaweza.
Mungu mhurumie mtanzania asie na hatia.