johnthebaptist stop nonsense. Walifaya haya kwa maelekezo ya Jiwe au wakijua hawataguswa kwa vile Jiwe alikuwa kipenzi chao. Acha utoto wewe , unajua fika kuwa hata wewe ulikuwa na nguvu ya kusema kwa vile Jiwe alisimamia udhalimu wa CCM. kama ali sanction kuiba kura by 100%, na haya aliyasimamia yeye.Kiukweli Ole sabaya wa Hai na Kakoko wa TPA walipendwa sana na hayati Magufuli lakini ndio wamekuwa watendaji wa mwanzo kabisa kuichafua serikali ya awamu ya 5 kwamba na yenyewe ilikuwa na makandokando kibao.
Kwa namna alivyoijenga CCM wilayani Hai DC Ole sabaya aliaminika kama kijana mzalendo na mchapakazi kumbe ni kama mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo.
Kwa namna hayati Magufuli alivyokuwa mfuatiliaji hadi kwenye mawasiliano mfano Nape na Makamba, sikutegemea dogo Ole sabaya apete bila kushtukiwa hadi Magufuli amekufa.
Jumaa kareem!
cc: Aloyce Nyanda aka Mtozi