Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Jamani natumia bundle ya internet ya airtel kwenye simu yangu. Lakini kwa siku kadhaa sasa kila nikijaribu ku download kitu chochote inafail...naomba kufahamu ni mimi tu au nawewe umekutwa na hiyo hali? Naomba jibu kabla sijakwenda ofisini kwao ku lalamika..,