Have you ever...

Kaunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
12,530
13,466
Benefited a friend or benefiting from a friend? (FWB)

Was jelousy ever involved later or just a casual thing?

Mli/naendelea kubenefitiana au mlibaki friends wa kawaida tu?

Was it ur co-worker, Cousin, family friend, schoolmate au friend's spouse?
 
Hivi friends with benefits maanake ni kuvunja 6th commandment? Mbona mie nna friends with benefits ambao.sex is never on the menu?

Kwa tafsiri ya author wa Uzi huu ambaye amehappen kuwa ur WIFI, benefit izumgumzwayo ni Sex. LOL
 
King'asti si ujibu?macho yamekutoka tu hapo! Kaunga anauliza hivvvoo ushawahi kummegea zombi lako moja wapo na bado mkabaki ile kibesti of ze besto!
 
Last edited by a moderator:
hapana, sijawahi mgea rafiki

hii kitu siiwezi kabisa, wivu utahusu tu.

I know, ni ngumu kumeza kwamba hupaswi kuumia anapptoka na mwingine; wachache wanaweza aisee. Labda wawe wote wanaiba lkn hata hivyo kuna kunogewa na kudevelop kawivu fulani.
 
Benefited a friend or benefiting from a friend? (FWB)

Was jelousy ever involved later or just a casual thing?

Mli/naendelea kubenefitiana au mlibaki friends wa kawaida tu?

Was it ur co-worker, Cousin, family friend, schoolmate au friend's spouse?


Have u?
how many times? lol
 
King'asti si ujibu?macho yamekutoka tu hapo! Kaunga anauliza hivvvoo ushawahi kummegea zombi lako moja wapo na bado mkabaki ile kibesti of ze besto!

mwaya nisaidie kufanya mabingwa wa kukwepa mitego wajibu! LOL

Ila usiache kutumegea nawe kuhusu yule bestee wako. LOL
 
Last edited by a moderator:
mwaya nisaidie kufanya mabingwa wa kukwepa mitego wajibu! LOL

Ila usiache kutumegea nawe kuhusu yule bestee wako. LOL
The Boss ajibu na ye siyo anagonga like tu hapo Kongosho nae anajifanya kufafanua tu swali hebu jibuni huko! SnowBall come kipande hii? Ciello hebu njoo ujibu hili swali nahisi kesho litakuwepo kwenye interview so hebi njoo upate reahasal ya kulijibu lara 1 kati ya mazombie wako hakuna hata mmoja aliye waho kupata neema zake mtoto wa mama lara 1
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahh mamito sijaelewa swali!!!hebu liweke kwenye lugha nyepesi nielewe...au nimwite ticha Natalia anifafanulie...
The Boss ajibu na ye siyo anagonga like tu hapo Kongosho nae anajifanya kufafanua tu swali hebu jibuni huko! SnowBall come kipande hii? Ciello hebu njoo ujibu hili swali nahisi kesho litakuwepo kwenye interview so hebi njoo upate reahasal ya kulijibu lara 1 kati ya mazombie wako hakuna hata mmoja aliye waho kupata neema zake mtoto wa mama lara 1
 
Last edited by a moderator:
The Boss ajibu na ye siyo anagonga like tu hapo Kongosho nae anajifanya kufafanua tu swali hebu jibuni huko! SnowBall come kipande hii? Ciello hebu njoo ujibu hili swali nahisi kesho litakuwepo kwenye interview so hebi njoo upate reahasal ya kulijibu lara 1 kati ya mazombie wako hakuna hata mmoja aliye waho kupata neema zake mtoto wa mama lara 1

Hahaaaaa! Choko mchokoe pweza binadamu mie hutoniweza!!!!!! Yupo lecturer mmoja hivi huko Moro, friend of a friend, Mtu wa Singida huko, huyu alikuwa na kaushamba flani of which i found it kind of sexy!!!! Mtu anakutendea wema mpaka unatamani kumkimbiaaaa!!!!!!!!! Khaaaaaaaaa! Sijaona! Unamnyima yeye anazidisha wema tu! Kila ijumaa yuko Dsm, full kula pesa yake weekend yote bila bila! Basi nikakata shauri nilipe fadhila!

Nikaenda mpaka Moro kwake, kilichoharibu hapo anapoishi kuna Msela wangu jirani kaolewa huko, nikapitia kwanza kumsabahi! Nikamwambia nimekuja kwa flani!!!!! Akaniambia hafai hafai hata kwa mbolea!!!!!!! Anafyeka vitoto vya chuo kwake bila huruma!!!!! Hapo kwake kila siku sura mpyaaaaaaaa! Chezeya halfcast wa kinyaturu na kinyamwezi weye?

Nilipigaje U turn kuwahi Abood la mwisho la saa mbili, msamvu paleee! Kiranga chote kwishaaaaa! Bado pesa zake nakula lakini kufidia risk ya HIV iliyonikosa! Na wala hajali, anajua iko siku!!!!! LOL!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom