Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 36,623
- 44,323
Kuna nini cha kujua katika hizo hadithi za kijuha!Utakuwa mweupe sana mkuu ila unajifanya unajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini cha kujua katika hizo hadithi za kijuha!Utakuwa mweupe sana mkuu ila unajifanya unajua
Wewe ukiitazama dunia inaanguka au inazidi kusonga mbele kimaendeleo? Unafahamu hata watu kuzaliana na kujazana kwenye kila ya dunia kama kumbikumbi ni matokeo ya maendeleo ya sekta ya afya yaliochangiwa pakubwa na hao unaowaita mabeberu, freemasons, illuminati na ujinga mwingine?!Seems like hii ni zaidi ya mabeberu.
Naona kama ni kundi la mashetani lenye malengo ya kuiangusha dunia.
Kuna vichwa panzi wengi duniani kote na wanakubali aina hizi za takata!Wewe unayo matatizo makubwa, copy paste ni mbaya sana kwani unaweza kukopi na ukashindwa kukitetea na ukashikwa udanganyifu.
Angalia hapo mwisho wa hiyo secret Covenant , Author :-UNKNOWN, Adherents:- blank.
Sasa ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kuikubali hiyo document??!!, inawezekana imeandikwa na mwendawazimu.
Huyu alitakiwa aondolewe kabisa hapa jukwaani apelekewe kwenye hospitali za magonjwa ya akili. He's not right upstairs."We will control all aspects of their lives and tell them what to think and how".Hivi mwanadamu anafanya kazi kama mashine au hapa umeelewa vipi wewe?Yani unasema kuna mtu anaweza control namna ambavyo utafikiri kichwani mwako na iwe vipi?Hivi hizi movie unazipata wapi na mimi niwe natizama kuburudisha kichwa.
"We will always hide the divine truth from them, that we are all one.
This they must never know". Hide divine truth!? like how?? kitu nachojua, kitu divine essence yake ni heaven na Mungu pekee ndio anaweza reveal au kuficha hiki kinachoitwa divine truth.
Mwisho kabisa,hii document yako uliyotoa kama reference hujaona kama ina mapungufu kibao,hakuna signature yoyote,authorship yake bado nayo wenge(the author is unknown person),title yake wenge(document haiko titled na kitu kama new world order kama unavyodai),the document is not sealed.Kwahiyo wewe kazi yako ni kuokota tu habari na kuzileta hapa bila kufanya chochote.
Trust me,hii forum ingekuwa yangu ningesha kupiga ban mapema lakini kwa sababu si yangu and I do respect freedom of expression basi uko huru kuparade upupu wako kadri unavyoweza.
Kwanini mimi ni mpumbavu?Ohh you are so stupid
Aisee mimi kwenye la kupunguza watu naunga mkono. Huku Afrika tunazaliana ovyo kama kumbikumbi hasa baadhi ya makabila kama akina ngosha, waha, wapemba na the likes. Tunazidisha generational poverty tu. Li-mtu linaona fahari kuzaa mitoto wakati hana uwezo wa kuwapa elimu na mahitaji mengine ya msingi.Watuue kwa money wakati tunaongezeka kama kumbikumbi kila siku, wewe kilaza kweli.
Tunazaa kama tupo kwenye mashindano!Aisee mimi kwenye la kupunguza watu naunga mkono. Huku Afrika tunazaliana ovyo kama kumbikumbi hasa baadhi ya makabila kama akina ngosha, waha, wapemba na the likes. Tunazidisha generational poverty tu. Li-mtu linaona fahari kuzaa mitoto wakati hana uwezo wa kuwapa elimu na mahitaji mengine ya msingi.
Inasikitisha kuona watoto wanaenda shule na kaptula zilizotoboka makalioni na mashati meupe yaligeuka kuwa ya hudhurungi na bado wanaishia kuwa wamachinga na bodaboda. Lazima tudhibiti generational poverty kwa kuzingatia uzazi wa mpango, sio kufyatua tu kisa elimu bure.Aisee mimi kwenye la kupunguza watu naunga mkono. Huku Afrika tunazaliana ovyo kama kumbikumbi hasa baadhi ya makabila kama akina ngosha, waha, wapemba na the likes. Tunazidisha generational poverty tu. Li-mtu linaona fahari kuzaa mitoto wakati hana uwezo wa kuwapa elimu na mahitaji mengine ya msingi.
You are too foolish,umedanganywa watu wanazaliana sana Africa na wewe kwa ujinga ulio-nao umekubali.Tembea kutoka Dar-Morogoro,it's empty.Chalinze-Segera, empty.Manyoni-Tabora-Kigoma,empty.Dar-Lindi-Mtwara,empty. Morogoro -Dodoma-Singida-Mwanza,empty.Mwanza-Bukoba,empty;Chato-Bukoba,empty;Kigoma-Bukoba,empty. empty,etc.etc.Kwa taarifa yako in the most 10 densely populated countries in the World,only Mauritius is in the list.Sasa waanzie huko na wakija huku waanze na wewe.Watuache Africa,hatuko wengi ku-deserve genocide.Aisee mimi kwenye la kupunguza watu naunga mkono. Huku Afrika tunazaliana ovyo kama kumbikumbi hasa baadhi ya makabila kama akina ngosha, waha, wapemba na the likes. Tunazidisha generational poverty tu. Li-mtu linaona fahari kuzaa mitoto wakati hana uwezo wa kuwapa elimu na mahitaji mengine ya msingi.
You see how coward you are!You are too foolish,umedanganywa watu wanazaliana sana Africa na wewe kwa ujinga ulio-nao umekubali.Tembea kutoka Dar-Morogoro,it's empty.Chalinze-Segera, empty.Manyoni-Tabora-Kigoma,empty.Dar-Lindi-Mtwara,empty. Morogoro -Dodoma-Singida-Mwanza,empty.Mwanza-Kigoma empty,etc.etc.Kwa taarifa yako Ulaya,nchi kama Britain,Germany ni overpopulated compared to Africa.Sasa waanzie huko na wakija huku waanze na wewe.
Halafuu,nani kawapa authority ya kuua
watu,only God has that authority.Mungu ameiumba dunia owe self sustaining,any
human to do that is satanic.
This is even more stupid!Eti Global citizenship,idioms za kiwizi wizi kabisa.Na wewe kama parot ume-capture tu,bila kujua siri iliyopo nyuma ya hiyo idiom!And then you do not know History,you need a basic History class.Unawakumbuka akina Speak,Livingston,Columbus na wengine?Nani aliwaita huku.Kwani tuliwaambia tuna shida.Shida zao ndizo zilizo waleta huku.No African went to Europe,no watuache na Africa yetu wakae kwao.You see how coward you are!
So, kwako it is a matter of filling the said empty lands? Huoni ishu ya kuwa na watu wengi ambao hawazalishi, hawana ujuzi na mizigo kwa taifa. Your dull mind, religiously brainwashed can't see this gigantic problem la watu mizigo kwa taifa.
Zaa watoto hata 50, but the question is, do you have resources and what it takes to make them global citizen? Usiniambie upuuzi wa kwamba kila mtu ameandikwa rizki yake. Only terminal imbecile, religious fanatics approve this senseless concept.
Kuna mambo tunakubaliana. Mstari wa mwisho nakubaliana nawe. Huwa nakubali ni wao ndio wameharibu msingi wetu wa maisha kijamii kwa ujumla.This is even more stupid!You do not know History,you need a basic History class.Hata hivyoo,watuache na Africa yetu,wao ndio walio tufuata Africa,sisi hatukwenda kuwaomba msaada.
Asante sana kwa kunitia moyo mkuu.Nina bro wangu elimu yake darasa la saba ila ana ufahamu wa mambo mengi ya hii dunia, kiasi akikaa na PhD holder the later atakimbia mijadala. Siri kubwa ya ufahamu wake ni Vitabu na Biblia. Bro ana vitabu ambavyo huwezi vipata kirahisi maktaba na bookshops tena vyenye siri za kiwango cha juu. Nikikaa nae huwa napata madini ambayo shule sikupata kabisa.
Mwanzo sikumuelewa ila muda huu namuona kama ana nguvu kubwa ya Mungu ndani yake. Zaidi ya miaka 10 anaongea juu ya mwelekeo wa Ulimwengu na habari kama hizi za NWO. Kwa mara ya kwanza aliniambia kuna chanjo ya ulimwengu inakuja na haitokuwa salama, ilikuwa mwaka 2012.
So mkuu nikupe moyo, usikatishwe tamaa na hawa wasomi uchwara wanaopinga mambo nyeti kama haya. Ipo siku wataelewa na wanaweza kuwa on time au wakawa wamechelewa. Kwa maana hizi ni habari za kweli kabisa. Na hatuko salama at this point of time, Mwenyezi Mungu tu ndio tumaini pekee.
Napenda sana kujifunza na kudig-deep. Tunaokuelewa tupo na tunapata madini. Mungu akubariki Mkuu.
Tuko pamoja Mkuu. Endelea kufanya unachokifanya. Impact yake ni kubwa and i believe it's positive.Asante sana kwa kunitia moyo mkuu.
Kuna mambo Mengi ya kweli ndani ya hii document mojawapo ikiwa Dini. Dini ni mojawapo ya njia ya kupumbaza na kuwagawanya watu katika vikundi...divide and rule 😁"We will control all aspects of their lives and tell them what to think and how".Hivi mwanadamu anafanya kazi kama mashine au hapa umeelewa vipi wewe?Yani unasema kuna mtu anaweza control namna ambavyo utafikiri kichwani mwako na iwe vipi?Hivi hizi movie unazipata wapi na mimi niwe natizama kuburudisha kichwa.
"We will always hide the divine truth from them, that we are all one.
This they must never know". Hide divine truth!? like how?? kitu nachojua, kitu divine essence yake ni heaven na Mungu pekee ndio anaweza reveal au kuficha hiki kinachoitwa divine truth.
Mwisho kabisa,hii document yako uliyotoa kama reference hujaona kama ina mapungufu kibao,hakuna signature yoyote,authorship yake bado nayo wenge(the author is unknown person),title yake wenge(document haiko titled na kitu kama new world order kama unavyodai),the document is not sealed.Kwahiyo wewe kazi yako ni kuokota tu habari na kuzileta hapa bila kufanya chochote.
Trust me,hii forum ingekuwa yangu ningesha kupiga ban mapema lakini kwa sababu si yangu and I do respect freedom of expression basi uko huru kuparade upupu wako kadri unavyoweza.
Sawa lakini hamna mamlaka ya kuua watu...Inasikitisha kuona watoto wanaenda shule na kaptula zilizotoboka makalioni na mashati meupe yaligeuka kuwa ya hudhurungi na bado wanaishia kuwa wamachinga na bodaboda. Lazima tudhibiti generational poverty kwa kuzingatia uzazi wa mpango, sio kufyatua tu kisa elimu bure.
Bila hao mabeberu na machanjo yao uchwara, zamani watu walikuwa hawazaliani?Wewe ukiitazama dunia inaanguka au inazidi kusonga mbele kimaendeleo? Unafahamu hata watu kuzaliana na kujazana kwenye kila ya dunia kama kumbikumbi ni matokeo ya maendeleo ya sekta ya afya yaliochangiwa pakubwa na hao unaowaita mabeberu, freemasons, illuminati na ujinga mwingine?!