Hauhitaji kwenda Bagamoyo,Tanga kupata watoto; unahitaji kinywa chako kitamke basi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
PENGINE UMEKUWA UKITESEKA SANA SANA KUHUSU UZAO WAKO,..LEO LIPO JIBU TOKA KWA MUNGU\WATU WENGI WAMEKUWA WAKITESEKA NA SHETAN AMEJUA MBINU KUBWA KUISAMBARATISHA NDOA ZA WANAOMPENDA YESU WALIOKOKA
NI KUWANYIMA UZAO NA HAPO NDIPO BINTI SHUKRAN BINTI ZA WADI BINT AHUEN AWA WOTE MAWIFI WANAKUJA NA OOH ANATUJAZIA CHOO OOOH UMEMPAATA WAPI..WAKATI AKIWA ANAWAPA HELA ZA NAULI AMKUJUA ANATOKEA WAPI..?

NDUGU YANGU MPENDWA NAJUA UCHUNGU WA KUTOKUWA NA MTOTO PENGINE NIKUJUISHE NILITESEKA NAHILO NIKAAMUA KUTANGAZA VITA NA SHETAN YA GADAFI CHA MTOTO..NIITA KILA ZILIPOFICHWWA SPERMS ZANGU NIITA KILA ZILIPOFICHWA ILE MIKIA YA SPERMS SIKUCHUKUA MIEZI 5 WALE WALIOSEMA SIZAI WALIKUJA KUULETA NEPI WALISEMA SITOPATA MTOTO WALIKUJA HOSPITAL KUULIZIA DK WA KIKE WA KIUME LEO WANAHANGAIKA NA MATUMBO YAO..NILICHOFANYA NIKURUDISHA KIBAO KWA KILA ALIEHUSIKA NA MATATIZO YANGU NA NILIMPA MUNGU WAKATI WITHIN MUDA FULAN SHETAN NATAJI AABIKE

ISAYA 54:1
ANASEMA IMBA WEWE ULIE TASA WEWE USIEZAA PAZA SAUTI YAKO KWA KUIMBA NA VIGELELE MAANA

""WATOTO WAKE ALIEACHWA NI WENGI KULIKO YULE ALIEOLEWA ASEMA BWANA WA MAJESHI.""
'PENGINE UMEKUWA NA MATATIZO YA UZAZI SIKU NYINGI LEO NDIO MWISHO KATAA KUTOZAA ANZA KUSHAMBULIA MAJESHI YAALIOFICHA UZAO WAKO KEMEA KWA NGUVU ZAKO ZOTE MFULULIZO USIOGOPE KUNA ATTACK ZAWEZA TOKEA UJUE NGOME IMETIKISWA HUKO KWENYE MAPEPO..PAZA SAUTI UNAITAJAI KUIMBA KUPIGA PRAYER ILI UZAO WAKO URUDI ..KINYWA CHAKAO NDICHO KITAKACHO KUPA KILE UNACHOHITAJI

naenda meeting nitaweka mistari ya kuonyesha jinsi kinywa kilivyo na nguvu kwenyemaisha yako ya kila siku fight foryour destination msiache shetan aanawatwanga tu kila siku yeye tumia malaika uliopewa kila mtu anamalaika wake mwambie wako akafanye kazi ya kurudisha uzao ndoa fedha zako jamani msikae kimya mpaka malaika anajaa kitambi hata ukimtuma anashindwa kunyanyuka,,

wasalaam
Didy
 
amen amen mpendwa,ulipotelea wapi na morning glory jamani?ubarikiwe mpaka ushangae,lovely msg thx
 
For by grace you have been saved through faith,and that not of yourselves;it is the gift of God,Not of works,lest anyone should boast.
Ephesians 2:8,9.
....And there is no other God besides Me,a just God and a savior;there is none bisides Me.
Look to Me,and be saved,all you ends of the earth!For I am God,and there is no other,"
Isaiah 45:21,22.MIA
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom