Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 4,977
- 7,412
Kwa umri wangu shida ya sukari nchini ikikwisha mwaka 1995 na maduka ya RTC alipokuja AH Mwinyi, sijawahi kuisikia tena mpaka huyu Magufuli alipoivuruga.
Mwinyi ndiye aliyeleta trade liberalization, yaani aliruhusu Watanzania wenye uwezo kuagiza popote na kuja kuuza Tanzania.
Mwaka 1980-85 zilitawaliwa na uhaba wa kila kitu kuanzia sabuni, nguo, mchele nk. Hizi bidhaa zilikuwa zinapatikana kupitia RTC na maduka ya kaya Kwa foleni. Benjamini Mkapa na Jakaya Kikwete hawakuvuruga mfumo wa biashara ulioanzishwana Mwinyi, instead waliuongeza nguvu.
Kwanini tulirudi kule kweusi alipokuja Magufuli?
Magufuli alikuwa na chuki, never subscribe to his hate over rich people. Alikuta bei ya sukari ni Tsh 1,800 October 2015, akaivuruga hadi ikaruka Tsh 3,000-5,000 na hadi anakufa haikuwahi kuteremka. Kwanini aliwapa Manufacturers role ya trading?
Inawezekana vipi ukapata nafuu ya bei kwa kumpa Kilombero Sugar mwenye workforce ya wafanyakazi zaidi ya 5,000 na related overheads aagize Sukari?
Hiyo ndiyo jukumu la intermediaries ambao wana wafanyakazi wachache na overhead chache.
Alivyoharibu biashara ya korosho ndivyo alivyoharibu biashara ya sukari. Akiwachukia matajiri kwa UMASKINI wake lakini akatutengenezea shida hii.
Anachofanya Rais Samia ni ku "reboot" au "reset to factory settings", kama tunavyofanya simu ikisumbua au iki-jam.
Mwinyi ndiye aliyeleta trade liberalization, yaani aliruhusu Watanzania wenye uwezo kuagiza popote na kuja kuuza Tanzania.
Mwaka 1980-85 zilitawaliwa na uhaba wa kila kitu kuanzia sabuni, nguo, mchele nk. Hizi bidhaa zilikuwa zinapatikana kupitia RTC na maduka ya kaya Kwa foleni. Benjamini Mkapa na Jakaya Kikwete hawakuvuruga mfumo wa biashara ulioanzishwana Mwinyi, instead waliuongeza nguvu.
Kwanini tulirudi kule kweusi alipokuja Magufuli?
Magufuli alikuwa na chuki, never subscribe to his hate over rich people. Alikuta bei ya sukari ni Tsh 1,800 October 2015, akaivuruga hadi ikaruka Tsh 3,000-5,000 na hadi anakufa haikuwahi kuteremka. Kwanini aliwapa Manufacturers role ya trading?
Inawezekana vipi ukapata nafuu ya bei kwa kumpa Kilombero Sugar mwenye workforce ya wafanyakazi zaidi ya 5,000 na related overheads aagize Sukari?
Hiyo ndiyo jukumu la intermediaries ambao wana wafanyakazi wachache na overhead chache.
Alivyoharibu biashara ya korosho ndivyo alivyoharibu biashara ya sukari. Akiwachukia matajiri kwa UMASKINI wake lakini akatutengenezea shida hii.
Anachofanya Rais Samia ni ku "reboot" au "reset to factory settings", kama tunavyofanya simu ikisumbua au iki-jam.