Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
- Thread starter
- #81
Unapozungumzia uchumi na kukuza uchumi hautakaa ukwepe namna fulani ya kukuza uchumi. Ndo mana kwenye theories za development, unaona mifano mingi inatoka Asian Tigers, na hata kuna nchi za sasa huwa wana borrow strategies zilizofanywa na Asian Tigers.Its all about perspective...maendeleo ya nchi ni relative..kujilinganisha na nchi zingine tutajidanganya na ndio maana tunafeli...ni km mtoto asiejitambua yuko wapi ametoka wapi na anataka kwenda wapi...kila kiongozi akija anafanya lake...
Mwingine perspective yake ni ujamaa wote ni kitu kimoja tufanye kazi kwa bidii kwa manufaa yetu wote
Mwingine kila mtu na akili yake kichwani..survival of the fittest/private sector watu waje wawekeze,hatuwezi wote tukawa sawa, km unauwezo wakupiga piga, ila mradi kuonekane kumechangamka..pesa ina zunguka transaction zinaonekana hata km hazi reflect uhalisia..twende kazi
Mwingine hapana hii si sawa Tanzania ni yetu wote, rasilimali zote ni zetu zitatumika kutunufaisha wote, tumefanywa shamba la bibi, watu wanaiba wanajinufaisha wakati mwananchi wa kawaida hapati haki za msingi...
sasa katika kila stage hapo juu lazima victim atalalamika...kwahio kusema tusilaumu mabeberu ni relative pia...
Mimi mtazamo wangu ni tukae chini tujitambue...strength na weakness zetu..halafu tusimamie strength tusonge mbele...
Kwa mfano tuna ardhi yenye rutba ya kutosha Mungu wetu tusamehe juzi kwenye radio kuna sehemu sijui uko sumbawanga kama sikosei wanasema miwa inakubali hatari hawajui waipeleke wapi inaoza shambani huku tunalia hatuna sukari tuna import...kinachotushinda nini kuwezesha kufungua kiwanda cha sukari kule..mimi naona labda kuna laana inatutafuna...tunaviongozi kila kona ya nchi..sijui RAS sijui katibu tawala..sijui mtendaji wanini wote hawa km hawako ujasiriamali minded kwa ajili ya rural development..
Kwa kifupi nobody can fix us but ourselves, sasa viongozi km hawalitambui hilo kazi ni kupigana vijembe huyu yuko hv, yule mshamba, huyu diplomat, huyu CCM B, huyu sukuma Gang..basi ili mradi tafrani..
Kenya hv, Kenya vile wale Urafiki yao tokea enzi za Nyerere inaendelea bado..maviwanda tokea enzi hizo bado zipo operational zinachapa kazi..sie sijui tunaviwanda vingapi vyakujilinganisha..tutauza mali ghafi tuambulie chenji tu..wakati wao wanazalisha wanapata manoti
Sasa tunawatafutia soko la products zao wakati sisi hatuna products za kucompete nao..mwisho wa siku tunauwa viwanda vilivyoanza kujikongoja...km vile tunaenda mbele kumbe tunarudi nyuma sababu hatujielewi..tutabaki kutoa mapovu tu huku kwenye mitandao
So nikukosoe kwanza, kwenye uchumi ni lazima uangalie mwenzako anafanya nini na wewe unafanya nini, na wewe amefanikiwa vip.. Ndo maana kuna kitu tunaita economic intelligence. Huwez ukasema eti hatutakiwi kufananisha.. utakuwa unakosea sana.. unless wewe utakuwa haufahamu haswa kuhusu masuala ya kiuchumi.