Hivi kila siku mnaijadili nchi jirani hamchoki! Nchi zinatofautiana kule mabepari wamewekeza sana na nchi inachukua kodi, ndiyo kinachowasaidia. Sasa povu jingi kusema elimu za watu; elimu hizo wengi wanazo lakini umasikini uko pale2. Kuna nchi hazijui kingereza lakini zimeendelea kuliko uingereza! Siamini kama kingereza ndiyo Uchumi/ kigezo cha nchi kuendelea! Sera/sasa za wakubwa haziwezi kukuruhusu wewe uendelee, Kama huamini jaribu kuendelea uone moto wake!