Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Watanzania hatutosahau miaka 10 ya awamu ya nne ya rais JK. Katika awamu yake ndipo tumeshuhudia mateso makubwa kwa watanzania yaliyotokana na ufisadi. EPA, RICHMOND,DOWANS nk. Ni miongoni mwa mirija ambayo imewatesa mno watanzania. Kikwete ameruhusu tuumie. Katika awamu yake tumeshuhudia milipuko ya mabomu ya Gongolamboto na mbagala yaliyosababishwa na uzembe wa JK na watendaji wake. Hakika hii miaka itakumbukwa kwa kila mtanzania wa kizazi hiki. Tuombe iishe haraka tuone viongozi wetu wa CCM watamsimamisha nani? Hima watani zangu MAGWANDA msimamisheni mtu makini tena. Maana tumezidi CCM sasa ahaaaaaaaaaa!!!!!!!!!