Nimeona nitoe ya moyoni kuelekea 2025 maana kwa Neema za Mungu tukikuwepo basi ningeomba swala la kutuchagulia vijana lisiwe agenda ila agenda iwe ni kumpata kiongozi mwenye busara na anaye heshimu katiba yetu na sheria zetu. Mvumilivu na mwenye kutambuwa sisi Watanzania ni waugwana hivyo asituburuze kama familia yake. Akumbuke kuna wapiga kura na kama kweli wamemchagua basi atawaheshimu.
Sera ya vijana imezua balaa kubwa na kufanya amani isiwepo katika jamii sisi tunasema hata kama huyo mtu ni mzee na siku zake za kuishi zimeisha basi kama ni mwenye kaliba ya hayo nimesema ndio apewe nchi.
Nasema hivi nikiamini ikiwa kweli ajaye atakuwa kijana ktk vijana hawa nawaona basi let pray. Tutakuwa na taifa la mihemko iliopitiliza na huenda watu watakosa furaha zaidi kwa taifa lao.
Hayo ndio maoni na maono yangu tunahitaji kiongozi atakaye kuwa na Utu na heshima kwa Raia wake na kukumbuka watanzania ni waugwana ila sio watu dhaifu ask Mwalim Nyerere.
Sera ya vijana imezua balaa kubwa na kufanya amani isiwepo katika jamii sisi tunasema hata kama huyo mtu ni mzee na siku zake za kuishi zimeisha basi kama ni mwenye kaliba ya hayo nimesema ndio apewe nchi.
Nasema hivi nikiamini ikiwa kweli ajaye atakuwa kijana ktk vijana hawa nawaona basi let pray. Tutakuwa na taifa la mihemko iliopitiliza na huenda watu watakosa furaha zaidi kwa taifa lao.
Hayo ndio maoni na maono yangu tunahitaji kiongozi atakaye kuwa na Utu na heshima kwa Raia wake na kukumbuka watanzania ni waugwana ila sio watu dhaifu ask Mwalim Nyerere.