Hatutaki mgombea Urais anayekimbilia Ikulu

Wanafalsafa hawakuzingatia mazingira. Wanaudhaifu wao asipopenda ikulu huyo sio kiongozi, kupena au kutopenda kuna matatizo yao na manufaa yake vyote anavyo mgombea.
 
hata mie nilikuwa mpinzan wala upinzan hauna uchu wa madalaka ila lowasa anauchu wa madalaka sana na kama bado unapinga hiyo nakala kapimwe akili yako
 
.

Hivyo, ningependa kusisitiza ushauri wa Mwalimu Nyerere Ikulu ni mahali patakatifu na hakuna biashara Ikulu bali ni mahali pa kuwatumikia watu.

Chanzo: Raia Mwema
Tujiulize kwanza, kwa nini Mwalimu Nyerere alifika mahali akatoa ushauri huo? Ina maana aliona ikulu ya tanzania imegeuka mahali pasipo patakatifu? Kauli hiyo Nyerere aliitoa kwenye miaka ya 90, leo waandishi mnairudia, je kuna mabadiriko yoyote ikulu, yaani utakatifu wa ikulu umeendelea kuheshimiwa au kuvurugwa?
 
Wanaofanya kampeni za urais wote wanakimbilia ikulu,au unadhani wanakimbilia chooni?upumbavu,ujinga na ulofa ni matatizo mtupu
 
awe mwizi au mgonjwa mahututi au ni chiz kura yang nampa lowassa kwan hakuna msafi ndani ya ccm
 
Kwa wanaokimbilia ikulu,ikulu kuna biashara gani,watu hao ni wa kuwaogopa kama gonjwa la Ebola
 
Kwa wanaokimbilia ikulu,ikulu kuna biashara gani,watu hao ni wa kuwaogopa kama gonjwa la Ebola

Kama ni kukimbilia ni hayo anayesema anajua matatizo ya watanzania wakati chama chake kupitia mtu kama yeye ilishindwa kuyatatua,maneno meeeengi ambayo tulishaambiwa hata na JAKAYA.

Kwa nini ameacha kazi yake ya ualimu kama sio kukimbia kimbia?

Siasa waachiwe wataalam wafanya kazi wa siasa miaka nenda rudi akina LOWASSA ndo wapo sahihi.
 
Mwandishi haelewi dhana halisi ya Chama cha Siasa zaidi ya kuudanganya umma,CCM imekaa ikulu miaka mingi mpaka leo wako tayari kupambana ili wasiachie ikulu alafu wewe unaandika kuwa wengine wanakimbilia ikulu ila CCM kwao ni kawaida.Watanzania tuna shida sana lakini yote hayo ni elimu duni na njaa ya muda mrefu hivyo wanakuwa rahisi kudanganywa.
 
Andika changamofo zinazotukabili na utatuzi wake usilete mambo ya miaka hamsini mbele tuna shida ya maji,umeme,dawa,elimu,nk
 
Tujiulize kwanza, kwa nini Mwalimu Nyerere alifika mahali akatoa ushauri huo? Ina maana aliona ikulu ya tanzania imegeuka mahali pasipo patakatifu? Kauli hiyo Nyerere aliitoa kwenye miaka ya 90, leo waandishi mnairudia, je kuna mabadiriko yoyote ikulu, yaani utakatifu wa ikulu umeendelea kuheshimiwa au kuvurugwa?

Mkuu, swali lako ni la nguvu sana. Wasipoweza kukujibu , basi wanyamaze siku zote. Dhana ya wapinzani kukimbilia Ikulu ni dhana mfu na mufilisi kabisa. Kama kuna chama hakitaki kwenda Ikulu basi hicho sio chama cha siasa. Itakuwa vikoba, etc, etc.
 
Uliza wanachama zaidi ya 40 wa CCM walichukua fomu za kuomba kufanya usafi chooni?
 
Back
Top Bottom