Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Kwakweli Kama tunataka mustakabali mwema wa taifa Basi tufwate matakwa ya wananchi. Waacheni watu wachague wamtakae msiwachagulie watu Nani wa kuwatawala. Mfumo wa Sasa umemfanya kila mtu kuwa mateka (terrorised) society.
Binadamu amezaliwa huru kabisa na mungu ametupa Uhuru toka day one tunapokuja ulimwenguni kwanini mtu mmoja tu mwenye kifamilia chake atupelekeshe?
Hapana hii haikubaliki kuwa mateka ndani ya nchi huru hii haikubaliki nyerere aliyaona haya na alisema maendeleo ya watu ni pamoja na Uhuru wao. Sio wakisikia tu mlango unagongwa wanaanza kuogopa pengine kesho wasiione.
Wakati wafanyakazi wanalilia mishahara yao na hasira zao zitaenda huko cc wengine tulilie Uhuru wetu .
Kila mtu kazaliwa na mwanamke tusitishane hakuna aliyezaliwa na mawingu toka angani.
Uchaguzi uwe Ni uhuru vs utumwa. Mambo ya kutishiana maisha hatutayavumilia Tena kwa miaka mitano ijayo.
Binadamu amezaliwa huru kabisa na mungu ametupa Uhuru toka day one tunapokuja ulimwenguni kwanini mtu mmoja tu mwenye kifamilia chake atupelekeshe?
Hapana hii haikubaliki kuwa mateka ndani ya nchi huru hii haikubaliki nyerere aliyaona haya na alisema maendeleo ya watu ni pamoja na Uhuru wao. Sio wakisikia tu mlango unagongwa wanaanza kuogopa pengine kesho wasiione.
Wakati wafanyakazi wanalilia mishahara yao na hasira zao zitaenda huko cc wengine tulilie Uhuru wetu .
Kila mtu kazaliwa na mwanamke tusitishane hakuna aliyezaliwa na mawingu toka angani.
Uchaguzi uwe Ni uhuru vs utumwa. Mambo ya kutishiana maisha hatutayavumilia Tena kwa miaka mitano ijayo.