kumekuwa na mambo mengi yakichangiwa kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla, Hii JF si ya chadema wala magamba ila ni ya watu wenye uelewa mpana katika mabo ya siasa na maendeleo ya nchi kwa ujumla kutokana na harakati na sera za CHADEMA members wengi wa JF wamekuwa wakiiunga mkono CHADEMA kwa kuwa chama makini, sera nzuri na watu makini na chama kinachoweza kututoa katika matatizo haya tuliyo nayo kwa sasa ya rushwa na ufisadi..
Tangu magamba waseme kwamba JF ni ya CHADEMA wengi wanaleta mda za kipuuzi hazieleweki na saa nyingine zinakera nawashauri kama una mambo ambayo hayana mpango wala hayana tija kwa maendelo yetu sote yapeleke kuleeee FACEBOOK kwa wambea wanaoweka picha zao za kipaimara na harusi.....
kwa hili naomaba mtuachie JF maana wanachadema walio huku wanaonekana wamepevuka kimawazo na wanaongea ishu zenye maendelo ya nci yetu na wanapinga rushwa na ufisadi
magamba nawashauri muendelee na facebook ndo inayowafaa na mipasho finished
Tangu magamba waseme kwamba JF ni ya CHADEMA wengi wanaleta mda za kipuuzi hazieleweki na saa nyingine zinakera nawashauri kama una mambo ambayo hayana mpango wala hayana tija kwa maendelo yetu sote yapeleke kuleeee FACEBOOK kwa wambea wanaoweka picha zao za kipaimara na harusi.....
kwa hili naomaba mtuachie JF maana wanachadema walio huku wanaonekana wamepevuka kimawazo na wanaongea ishu zenye maendelo ya nci yetu na wanapinga rushwa na ufisadi
magamba nawashauri muendelee na facebook ndo inayowafaa na mipasho finished