Hatutaki chadema wala magamba humu

kakini

Senior Member
Mar 31, 2011
197
33
kumekuwa na mambo mengi yakichangiwa kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla, Hii JF si ya chadema wala magamba ila ni ya watu wenye uelewa mpana katika mabo ya siasa na maendeleo ya nchi kwa ujumla kutokana na harakati na sera za CHADEMA members wengi wa JF wamekuwa wakiiunga mkono CHADEMA kwa kuwa chama makini, sera nzuri na watu makini na chama kinachoweza kututoa katika matatizo haya tuliyo nayo kwa sasa ya rushwa na ufisadi..

Tangu magamba waseme kwamba JF ni ya CHADEMA wengi wanaleta mda za kipuuzi hazieleweki na saa nyingine zinakera nawashauri kama una mambo ambayo hayana mpango wala hayana tija kwa maendelo yetu sote yapeleke kuleeee FACEBOOK kwa wambea wanaoweka picha zao za kipaimara na harusi.....

kwa hili naomaba mtuachie JF maana wanachadema walio huku wanaonekana wamepevuka kimawazo na wanaongea ishu zenye maendelo ya nci yetu na wanapinga rushwa na ufisadi

magamba nawashauri muendelee na facebook ndo inayowafaa na mipasho finished
 
naona chama cha magamba yaani ccm wameajiri watu wanashinda humu kuitetea ccm. hawatafanikiwa
 
Nikweli umesema ila kumbuka humu kuna majukwaa mengi ukiona hapo ulipo hapafai unaenda kwingine!!Siyo lazima uungane nawatu ambao unaona mkotofauti kiitikadi!!
Pili;
Kwanini umealalisha kwamba JF ni ya wana chadema makini!!
Tatu;
Wewe haufahamu matumizu ya facebook ukiingia kwa undani utajua kuna nini kwenye facebook!
Nene;
Kwenye kujenga taifa na uchumi imara uwezi kutofautisha na siasa!!
Tano;
Ujue lazima uwemvumilivu na thread za watu kwa tupo tofauti kiupeo hata wewe kunawatu wanaona mawazo yako uliyotoa yana hombwe ila jambo muhimu nikuvumiliana!!.
 
kumekuwa na mambo mengi yakichangiwa kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla, Hii JF si ya chadema wala magamba ila ni ya watu wenye uelewa mpana katika mabo ya siasa na maendeleo ya nchi kwa ujumla kutokana na harakati na sera za CHADEMA members wengi wa JF wamekuwa wakiiunga mkono CHADEMA kwa kuwa chama makini, sera nzuri na watu makini na chama kinachoweza kututoa katika matatizo haya tuliyo nayo kwa sasa ya rushwa na ufisadi..

Tangu magamba waseme kwamba JF ni ya CHADEMA wengi wanaleta mda za kipuuzi hazieleweki na saa nyingine zinakera nawashauri kama una mambo ambayo hayana mpango wala hayana tija kwa maendelo yetu sote yapeleke kuleeee FACEBOOK kwa wambea wanaoweka picha zao za kipaimara na harusi.....

kwa hili naomaba mtuachie JF maana wanachadema walio huku wanaonekana wamepevuka kimawazo na wanaongea ishu zenye maendelo ya nci yetu na wanapinga rushwa na ufisadi

magamba nawashauri muendelee na facebook ndo inayowafaa na mipasho finished
I think wewe mleta mada humu ni mgeni au husomi michango ya wengi humu. Kilichopo humu ni udini tu hamna chochote. niwachache sana enye mawazo pevu, majority ni waifia dini. wewe fungua thread yoyote huko nyuma halafu soma comments za watu. then you will realize the truth. That is why naichukia chadema period.
 
Umebeba nafsi za wangapi kijana? Kama vile we ni mtoto wa nje ya ndoa unayelelewa na ccm na wamekunyima fulsa za kujitambua! We ni kuuumaa kweli!
 
I think wewe mleta mada humu ni mgeni au husomi michango ya wengi humu. Kilichopo humu ni udini tu hamna chochote. niwachache sana enye mawazo pevu, majority ni waifia dini. wewe fungua thread yoyote huko nyuma halafu soma comments za watu. then you will realize the truth. That is why naichukia chadema period.
I second your opinion man. Tangu mwanzo mimekuwa nikitahadharisha juu ya JF kutekwa na wakina simbaulanga. Hili limeenda mbali zaidi Chadema yenyewe imetekwa na wanaharakati wa kanisa! Matokeo yake humu wengi wanaunga mkono kila kitu CDM hata ikiwa plain stupidity! Hivi jukwaa hili hatuwezi kuwa mlengo wa kati? Tukapongeza au kulaumu CDM, CUF, CCM nk? TANZANIA FIRST!
 
kumekuwa na mambo mengi yakichangiwa kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla, Hii JF si ya chadema wala magamba ila ni ya watu wenye uelewa mpana katika mabo ya siasa na maendeleo ya nchi kwa ujumla kutokana na harakati na sera za CHADEMA members wengi wa JF wamekuwa wakiiunga mkono CHADEMA kwa kuwa chama makini, sera nzuri na watu makini na chama kinachoweza kututoa katika matatizo haya tuliyo nayo kwa sasa ya rushwa na ufisadi..

Tangu magamba waseme kwamba JF ni ya CHADEMA wengi wanaleta mda za kipuuzi hazieleweki na saa nyingine zinakera nawashauri kama una mambo ambayo hayana mpango wala hayana tija kwa maendelo yetu sote yapeleke kuleeee FACEBOOK kwa wambea wanaoweka picha zao za kipaimara na harusi.....

kwa hili naomaba mtuachie JF maana wanachadema walio huku wanaonekana wamepevuka kimawazo na wanaongea ishu zenye maendelo ya nci yetu na wanapinga rushwa na ufisadi

magamba nawashauri muendelee na facebook ndo inayowafaa na mipasho finished

Soma kwenye red hapo, Kardinali Pengo ndio amekutuma au nani ? kwani ndio mwenye CDM yake, wengine waliopo ni vibaraka tu wa kupitisha kauli zake
 
Waache tu hata hao magamba wachangie kwani hawana jipya .Hawana hoja za msingi si unaona hata kule bungeni?
 
naona chama cha magamba yaani ccm wameajiri watu wanashinda humu kuitetea ccm. hawatafanikiwa
Hasa jamaa fulani (namhifadhi jina lake kwa leo) anaonekana amemilikishwa mgodi fulani na mafisadi, maana kazi yake ni kuja na hoja zisizo na masikio, miguu, kichwa wala mikia kwa lengo la kuonesha unazi wake na chama cha magamba.
 
Nene;
Kwenye kujenga taifa na uchumi imara uwezi kutofautisha na siasa!!
Mimi nnaamini tunaweza tukaweka siasa pembeni... Itikadi za vyama pembeni na tuakasukuma gurudumu letu la uchumi ambalo nowadays limekwama...
kadiri nchi hii siasa inavyozidi kushika hatamu madokta, maprofesa na wasomi mbalimbali wanakimbilia huko na kuacha kusukuma gurudumu letu la maendeleo kutumia elimu walizonazo....
Kwamfano; Tupo 2011 lakini we can sense that campaign za 2015 zimeshaanza hasa kwenye ngazi ya uraisi... Tunatakiwa kuweka siasa pembeni na tu focus katika maendeleo ya Nchi yetu, 2014 mwishoni ndo tuanze siasa!..
 
Nikweli umesema ila kumbuka humu kuna majukwaa mengi ukiona hapo ulipo hapafai unaenda kwingine!!Siyo lazima uungane nawatu ambao unaona mkotofauti kiitikadi!!
Pili;
Kwanini umealalisha kwamba JF ni ya wana chadema makini!!
Tatu;
Wewe haufahamu matumizu ya facebook ukiingia kwa undani utajua kuna nini kwenye facebook!
Nene;
Kwenye kujenga taifa na uchumi imara uwezi kutofautisha na siasa!!
Tano;
Ujue lazima uwemvumilivu na thread za watu kwa tupo tofauti kiupeo hata wewe kunawatu wanaona mawazo yako uliyotoa yana hombwe ila jambo muhimu nikuvumiliana!!.

Well said mkuu!
 
Mh! kweli ni tatizo. Mkuu ingia kwenye thread zingine hizi za magamba na CDM waachie wenyewe jamani. Kila mtu na upeo wake wa kuelewa.

Nawakilisha.
 
I second your opinion man. Tangu mwanzo mimekuwa nikitahadharisha juu ya JF kutekwa na wakina simbaulanga. Hili limeenda mbali zaidi Chadema yenyewe imetekwa na wanaharakati wa kanisa! Matokeo yake humu wengi wanaunga mkono kila kitu CDM hata ikiwa plain stupidity! Hivi jukwaa hili hatuwezi kuwa mlengo wa kati? Tukapongeza au kulaumu CDM, CUF, CCM nk? TANZANIA FIRST!

hapa tulipofika tungepaepuka iwapo mods na invisibles wangekuwa makini_binafs nimekuwa nasisitiza swala la kuepuka ushabik wa din na siasa ndan ya jf kwa kuamin kuwa jukwaa hili limeandaliwa kwa watu makin wenye mambo ya maana kwa jamii kumbe ni mpango maalum kwa ajili ya dini fulan kwa chama fulan_kwa mpango huo mtatukosa Wanaharakat weng tusio na ufahamu wenu_humu ni udini na upambav tu
 
hapa tulipofika tungepaepuka iwapo mods na invisibles wangekuwa makini_binafs nimekuwa nasisitiza swala la kuepuka ushabik wa din na siasa ndan ya jf kwa kuamin kuwa jukwaa hili limeandaliwa kwa watu makin wenye mambo ya maana kwa jamii kumbe ni mpango maalum kwa ajili ya dini fulan kwa chama fulan_kwa mpango huo mtatukosa Wanaharakat weng tusio na ufahamu wenu_humu ni udini na upambav tu

yes,you said it
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom