FREDRISH FELIX
New Member
- Mar 14, 2012
- 4
- 0
Hakuna mtu mwenye uhakika kua Jack Masamaki(mgombea wa udiwani kirumba,mwanza) alikamatwa usiku wa jana kwa kosa la kugawa pesa,na bado mbunge wa ilemela anathibitisha kua ni kweli kupitia mwandishi wa gazeti la mwananchi je mbunge huyo alikuwepo eneo la tukio au anasikia tu?na kwa habari zilizo hewani ingawa azina uthibitisho ni kuwa mbunge huyo alikuwa amelewa je atasemaje ukweli kwa hali iyo?
Jameni tusiwe waenezaji wa habari za uhongo.
Jameni tusiwe waenezaji wa habari za uhongo.