kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
Habari za jioni wana JF,Kutokana na hotuba mh.rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh.dr.Jakaya Kikwete leo wakati wa kupokea rasimu ya 2 ya katiba mpya,ni wazi amegundua wabunge wengi hasa wa chama chake(CCM)hupenda sana ushabiki wa kisiasa wakati wa mijadala muhimu ya kitaifa.Kitendo cha mh.rais kutahadhari vyama vya siasa kupeleka mivutano ya kisiasa ndani ya bunge maalum la katiba ni ishara ya kiongozi aliedhamiria nchi kama nchi tupate KATIBA mpya ambayo siyo upande mmoja.Nakupongeza sana mh.Rais na wajumbe wa bunge hilo maalum la katiba hamna budi kufuata ushauri huo wa busara.