Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 239
Ni sahihi kabisa kutomtambua rais aliyeingia madarakani kwa kuiba kura! Leo wakati wa kuapishwa waziri mkuu, kumekuwa kuna maoni mbalimbali eti CHADEMA kususia HOTUBA za JK sio vizuri.
WATANZANIA, achane hayo. Tuache demokrasia ichukue mkondo wake. Kama kuna tetesi au ukweli kwamba kura zilizompeleka rais ikulu si zile zilizotolewa na wananchi, basi ni vema tusubiri kama kuna tume itaundwa ione ukweli wa jambo!
TANZANIA yetu ijue kuwa hakuna AMANI pasipokuwa na HAKI. Haki huwa ni precursor wa Amani.
Maamuzi ya wananchi sharti yawe ndo maamuzi na kama yanadharauliwa, basi lazima kwa kweli wananchi wasikubali kabisa na hapo demokrasia itashamiri.
WATANZANIA, achane hayo. Tuache demokrasia ichukue mkondo wake. Kama kuna tetesi au ukweli kwamba kura zilizompeleka rais ikulu si zile zilizotolewa na wananchi, basi ni vema tusubiri kama kuna tume itaundwa ione ukweli wa jambo!
TANZANIA yetu ijue kuwa hakuna AMANI pasipokuwa na HAKI. Haki huwa ni precursor wa Amani.
Maamuzi ya wananchi sharti yawe ndo maamuzi na kama yanadharauliwa, basi lazima kwa kweli wananchi wasikubali kabisa na hapo demokrasia itashamiri.