Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Wana sheria hawana tofauti na mwanamke anayenunuliwa: ukimpa pesa umekuwa wake na waliokuwa naye anawatukana. Ole Millya ni muhimu sana kwa CDM maana anajua siri nyingi za CCM mtumieni vizuri awape mbinu na najua ataanza rasmi kuitukana CCM na kuibeba CDM halafu pia wanaosema yeye ni Pro EL sawa wekeni ushahidi! Lakini pia kama kwa wasiojua siasa, nawahakikishia hata EL angehamia leo CDM wamkaribishe maana atasaidia kubomoa CCM.....Utashangaa kusikia EL anasema Serikali ya CCM iliiba pale, ilighushi hapa niliishauri pale ikakataa....yote haya tunayahitaji mwisho wa siku akitaka kura tutamwangalia kama anatufaa....lakini kwasasa mchango wake muhimu kwa upinzani wowote iwe NCCR, CUF, CCK na hata chama tunachotegemea kuanzishwa na wana CCM kadhaa karibuni.