Pamputi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 982
- 723
Nadhani hatukuwahi kujiandaa kuyapokea mabadiliko na ndo asili ya kelele nyingi mitaani juu ya haya ayafanyayo rais wa jamhuri ya Tanzania Dr John Pombe Magufuli
Kwa miaka mingi sana watz tulikuaga tukipiga kelele juu ya habari na visa vya kifisadi ambavyo vililwishaanza kuota mizizi na tukatamani atokee mtu qa kufukua huo uozo,kufanya reformation ya mifumo lakini kumbe hatukuwahi kujiandaa kwa harufu kali za uozo huo mara utapoanza kufukuliwa
watz tuliaminishwa zaidi katika mabadiliko bila kuyaelewa vema hata mabadiliko tulokua tunayapigia kelele
FACT ni kwamba hakunaga mabadiliko yoyote duniani ambayo hayawezi kupitia changamoto, lakini bahati mbaya watz hawakuwahi kujiandaa na haya
Tulitaka mifumo mizuri ya ukusanyaji waapato,mifumo thabiti ya udhibiti wa mapato ,tukahitaji mifumo mizuri ya kiuchumi isiyo na mambo ya kiutegemzi,tukahitaji utawala bora na fact ni kwmba yote haya ndo yanafanyika tunayageuza maumivu kwa sababu hatukuwahi kujiandaa
Kwa waliosoma vzr sheria ukisoma Doctrine of Rule of Law vzr n kwamba sheria ikitiliwa maanani sana ndio udiktete yaani mtu anayefuata sheria na kuisimamia katika maamuz yake n rahisi kumuona ni dikteta na Kama taifa lina raisi mwenye hulka hzo ni rahisi kumhisi n dictator
Ubaya unakuja pale mnapokua na wapinzani ambao wao vision yao imelenga kwny kushka madaraka tu na sio kutumikia watu hapo inakua hatari zaidi
Rai yangu watz tuyapokee haya maana njia sahihi kuelekea kwny matarajio yetu japo tulichelewa kujiandaa
#GO_MAGU
Kwa miaka mingi sana watz tulikuaga tukipiga kelele juu ya habari na visa vya kifisadi ambavyo vililwishaanza kuota mizizi na tukatamani atokee mtu qa kufukua huo uozo,kufanya reformation ya mifumo lakini kumbe hatukuwahi kujiandaa kwa harufu kali za uozo huo mara utapoanza kufukuliwa
watz tuliaminishwa zaidi katika mabadiliko bila kuyaelewa vema hata mabadiliko tulokua tunayapigia kelele
FACT ni kwamba hakunaga mabadiliko yoyote duniani ambayo hayawezi kupitia changamoto, lakini bahati mbaya watz hawakuwahi kujiandaa na haya
Tulitaka mifumo mizuri ya ukusanyaji waapato,mifumo thabiti ya udhibiti wa mapato ,tukahitaji mifumo mizuri ya kiuchumi isiyo na mambo ya kiutegemzi,tukahitaji utawala bora na fact ni kwmba yote haya ndo yanafanyika tunayageuza maumivu kwa sababu hatukuwahi kujiandaa
Kwa waliosoma vzr sheria ukisoma Doctrine of Rule of Law vzr n kwamba sheria ikitiliwa maanani sana ndio udiktete yaani mtu anayefuata sheria na kuisimamia katika maamuz yake n rahisi kumuona ni dikteta na Kama taifa lina raisi mwenye hulka hzo ni rahisi kumhisi n dictator
Ubaya unakuja pale mnapokua na wapinzani ambao wao vision yao imelenga kwny kushka madaraka tu na sio kutumikia watu hapo inakua hatari zaidi
Rai yangu watz tuyapokee haya maana njia sahihi kuelekea kwny matarajio yetu japo tulichelewa kujiandaa
#GO_MAGU