Hatukutaka Mashehe wafutiwe kesi tu, kilichotakiwa ni haki itendeke ili kuepuka kejeli

Wewe utakuwa siyo mfuatiaji wa Mambo. Usibishane na nguli wa habari. Hawa mashekhe washalalamika mara kibao juu ya hili. Na hata kulikuwa na mwito wa mashekhe wenzao wakilalama juu ya hili. Rejea hata comment na 48 hapo juu
Kama kweli wewe ni nguli wa habari basi nenda magerezani ukatuletee habari kamili juu ya hayo uliyosema masheikh wale walitendewa ili mwisho wa siku wakuu wa vyombo hivyo washitakiwe kwa kukiuka haki za binadamu!
Ulivyoandika ni kama unayafurahia hayo matendo ambayo ni kinyume Cha Sheria na ni kinyume Cha utu kwani matendo Yale siyo sehemu ya hukumu kwa mfungwa Wala mahabusu!
Eti mwandishi nguli nakosea?
 
Hawa mashekhe wamepitia mengi huko mahabusu. Walifeerwa kwa vijiti vya mpingo. Msitake warudi tena huko.
Usiogope ni sawasawa na kunya tu ,mivi mengine ni magumu kuliko jiwe ,kama hayo una uhakika nayo basi fahamu si kwa hiari yao ni kwa nguvu na hata kama hupo jela yanaweza kukuta hukohuko mtaani kwako.
 
Laurent wa ivory coast kaachiwa, kuna fidia aliyopewa?? Nani kasimama kumsafisha???
Kwa hio serikali inaiga mabaya na hasa serikali tuliyonayo hii mpya ,mnaona aibu na hili nyie WaTanganyika ilikuwa muwarudishe kule Zanzibar na muwaambie sheria haituruhusu ,lakini mwanakuyatafuta mwana kulipata ,hili zoezi mlilofanya linawaweka katika kundi lile la ukandamizaji na hili linamuathiri Raisi Samia moja kwa moja,au ndio ni wa lile kundi mnasaboteji. Sijui unanielewa ? Serikali ya Zanzibar inapeta ya Samia inazamishwa na hili ni mojawapo tena zito sana.
 
Tatizo mnashangilia hata mpira haujamalizika ,rudieni msikilize walichokizungumza kuanzia mwanzo hadi mwisho .
Haya unayoropoka hapa ukiyaongea mbele yao sidhani kama utarudi mzima, usichezee jela wewe mtoto wa mama
 
Itakuwa haujawafahamu wasikilize vizuri sana, mtu asietenda kosa hakubali kirahisi kama unavyosema na yupo tiyari kufa kuliko aliendenda kosa katika kudai haki yake.

Sasa mmeshindwa hata kuwasafisha mbona ziko kamati za upatanishi, aitwe yule aliewambia wataenda kunyea debe asuluhishwe na ijulikane na uwazi uongelewe kuwa ni sababu za kisiasa naamini mashee watawasamehe kina babu ali .lakini kuwaachia mitaani na kuwaonya hili na lile, hio sio jambo jema, kisaikolojiya unawaathiri.
Kwani Mashekhe wenyewe
Wanasemaje?
Tusisijifanye jeuri tukiwa nje ndani kubaya aisee.
Tusiwasemee si wapo? Kama hawakubaliani warudi ndani, ili haki itendeke
 
Haya unayoropoka hapa ukiyaongea mbele yao sidhani kama utarudi mzima, usichezee jela wewe mtoto wa mama
Wewe umezaliwa na punda hata hivyo huyo bado atakuwa mama yako, na mtashindiliw ajela kila siku kwa kuogopa kuusema uovu.
 
Tunahitaji iendelee na ithibitishe ugaidi wao maana kule Mtwara kunawaka moto hamuoni kama itakuwa rahisi kwa wao sasa kuhamia rasmi ndani ya mapambano kuliko kukaa kwenye viwanja vya mpira wakipigana jihadi mnayoijua nyinyi.
Wewe unaitaka iendelee, yenyewe haitaki kuendelea, utafanya nini?
 
Wazanzibari hawakutaka mashehe waachiwe kama ilivyotokea. Wameachiwa na watu wasiojulikana kwani hata mawakili hawakutaarifiwa walisikia tu mashehe wa au wateja wenu wameonekana mitaani.

Wazanzibari wanahitaji au walihitaji haki itendeke, mahakama iliyopewa dhamana iendeshe kesi kililahi bila ya kupendelea au kufanya uonevu, ushahidi na mashahidi wote wawepo.

Kila kukicha Wazanzibar walikuwa wanasema wanachotaka ni kesi imalizike na hukumu itolewe ikiwa minus au plus, na sio hii historia ilioandikwa na watu wasiojulikana, wameachiwa tu burebure na kuwapa vitisho kuwa watulie.

Hapaaaanaa liwe liwalo, mawakili waingilie kati ili haki itendeke.
Mkuu hapa kamwe hautasikia serikali inaingilia mahakama, lakini kwenye mambo mengine ndio utasikia oh serikali inaingilia mahakama, sasa ndio tuujue unafiki wa Watanzania. Hawa wa uamusho wametolewa kutokana na udini tu na si haki, kuna siku hata wengine watadai waachiwe kama walivyoachiwa masheikh.
 
Back
Top Bottom