Hatukutaka Mashehe wafutiwe kesi tu, kilichotakiwa ni haki itendeke ili kuepuka kejeli

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,933
3,805
Wazanzibari hawakutaka mashehe waachiwe kama ilivyotokea. Wameachiwa na watu wasiojulikana kwani hata mawakili hawakutaarifiwa walisikia tu mashehe wa au wateja wenu wameonekana mitaani.

Wazanzibari wanahitaji au walihitaji haki itendeke, mahakama iliyopewa dhamana iendeshe kesi kililahi bila ya kupendelea au kufanya uonevu, ushahidi na mashahidi wote wawepo.

Kila kukicha Wazanzibar walikuwa wanasema wanachotaka ni kesi imalizike na hukumu itolewe ikiwa minus au plus, na sio hii historia ilioandikwa na watu wasiojulikana, wameachiwa tu burebure na kuwapa vitisho kuwa watulie.

Hapaaaanaa liwe liwalo, mawakili waingilie kati ili haki itendeke.
 
Sasa mbona walikubali kuachiwa? si wangebaki ndani mpk haki itendeke?
Ukisikia kejeli ndio hizo na inaonekana umedumaa akili.

Tunataka tujue wameachiwa kama nani nikimaanisha ni lazima waliowafunga miaka tisa watamke iwe ndani ya mahakama au kwenye vyombo ili kuwasafisha, huwezi ukawaachia watu mitaani tu, hawa bado wanamoyo hawajafa wapo hai,wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi gaidi huyooo, hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha, sijui umenielewa.
 
Wenyewe wana sema bora yameisha salama wapo huru na awatotaka kushindana na mwenye nguvu
Itakuwa haujawafahamu wasikilize vizuri sana, mtu asietenda kosa hakubali kirahisi kama unavyosema na yupo tiyari kufa kuliko aliendenda kosa katika kudai haki yake.

Sasa mmeshindwa hata kuwasafisha mbona ziko kamati za upatanishi, aitwe yule aliewambia wataenda kunyea debe asuluhishwe na ijulikane na uwazi uongelewe kuwa ni sababu za kisiasa naamini mashee watawasamehe kina babu ali .lakini kuwaachia mitaani na kuwaonya hili na lile, hio sio jambo jema, kisaikolojiya unawaathiri.
 
Wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi, gaidi huyooo, hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha,sijui umenielewa.
Wakitaka wanaweza kufungua kesi wasafishwe, ila kwa sasa kinachojulikana ni kwamba serikali imeamua kuachana na nia yake ya kuendelea kuwatuhumu kama magaidi, ingawa ingeweza kuendelea na kuthibitisha ugaidi wao.
 
Wakitaka wanaweza kufungua kesi wasafishwe, ila kwa sasa kinachojulikana ni kwamba serikali imeamua kuachana na nia yake ya kuendelea kuwatuhumu kama magaidi, ingawa ingeweza kuendelea na kuthibitisha ugaidi wao
Tunahitaji iendelee na ithibitishe ugaidi wao maana kule Mtwara kunawaka moto hamuoni kama itakuwa rahisi kwa wao sasa kuhamia rasmi ndani ya mapambano kuliko kukaa kwenye viwanja vya mpira wakipigana jihadi mnayoijua nyinyi.
 
Wewe ulikuwa umefungwa? Unajua kadhia ya kukaa rumande au kufungwa? Unajua kabla ya kuachiwa wamekubaliana nini? Cha msingi wameachiwa. Haya mambo ya kila kitu kutaka msindi, haitakaa kutokea raia kuishinda serikali.

Tunataka sote tuishi kwa amani. Haki anagawa Mwenyezi Mungu.
 
hai,wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi ...gaidi huyooo ,hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha,sijui umenielewa.
Lkn wao wameshukuru Sana kuachiwa na shekhe Muselem ameomba yaishe. Na akaongeza kwamba haifai kushindana na mwenye nguvu. Wewe nani hadi uje hapa kuwasemea wasiyoyataka?
 
Ukisikia kejeli ndio hizo na inaonekana umedumaa akili.

Tunataka tujue wameachiwa kama nani nikimaanisha ni lazima waliowafunga miaka tisa watamke iwe ndani ya mahakama au kwenye vyombo ili kuwasafisha, huwezi ukawaachia watu mitaani tu, hawa bado wanamoyo hawajafa wapo hai,wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi gaidi huyooo, hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha, sijui umenielewa
Nitakuelewaje na wakati akili imedumaa kama ya maza ako?
 
Ukisikia kejeli ndio hizo na inaonekana umedumaa akili.

Tunataka tujue wameachiwa kama nani nikimaanisha ni lazima waliowafunga miaka tisa watamke iwe ndani ya mahakama au kwenye vyombo ili kuwasafisha, huwezi ukawaachia watu mitaani tu, hawa bado wanamoyo hawajafa wapo hai, wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi gaidi huyooo, hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha, sijui umenielewa
Jamani,
 
Ukisikia kejeli ndio hizo na inaonekana umedumaa akili.
Tunataka tujue wameachiwa kama nani nikimaanisha ni lazima waliowafunga miaka tisa watamke iwe ndani ya mahakama au kwenye vyombo ili kuwasafisha ,huwezi ukawaachia watu mitaani tu ,hawa bado wanamoyo hawajafa wapo hai,wasio na adabu tunawaona wanawapigia makelele na kuwazomea kwa mbali wakiwatita magaidi ...gaidi huyooo ,hilo oo gaidi na maneno mengi ya kudhalilisha,sijui umenielewa.
Wakitulia bila kuingilia tena imani za watu wengine,kuchoma makanisa,kumwagia tindikali wachungaji,na kuwaumiza wengine wa imani tofauti na yao hawataitwa magaidi tena
 
Atakayejitokeza atakufa kweli. Wahenga washasema kwa shujaa huenda kilio, kwa mwoga huenda kicheko.

Wathubutu waone! This time inhiiii!!!
Wale sio magoi goi kama unavyofikiri ni watu na akili zao timamu na hili halijaisha ,unaposema wathubuu wathubutu kitu gani panua vizuri ufahamike.
 
Back
Top Bottom