Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Kwa kweli ccm mmeiharibu Tz yetu amani imetoweka kila kona kwanza hili la kupanda bei kila siku limemfika kika mmoja wetu yakiambatana na haya yakucheleweshana mishahara na boom kutimua wanafunzi wakidai haki zao kwani nchi hii inademocrasia au dicteta? Kwa kweli haya matatizo yameifika kila jamii na huu uvumilivu una mwisho na mwisho wake upo na umekaribia, ccm mtalia na kusaga meno