Hatukubaliani na maamuzi ya kidikteta ya "prof mkandala" vc "udsm"

Kwa kweli ccm mmeiharibu Tz yetu amani imetoweka kila kona kwanza hili la kupanda bei kila siku limemfika kika mmoja wetu yakiambatana na haya yakucheleweshana mishahara na boom kutimua wanafunzi wakidai haki zao kwani nchi hii inademocrasia au dicteta? Kwa kweli haya matatizo yameifika kila jamii na huu uvumilivu una mwisho na mwisho wake upo na umekaribia, ccm mtalia na kusaga meno
 
washakuona wanaintelijensia.
Kesho ngoja Mzee Mathias akabandike tangazo pale cafeteria linalosemomeka
FOLLOWING STUDENTS SHOULD COME TO AUXILLIARY POLICE TO COLLECT THEIR IMPORTANT DOCUMENT
1. bampani ibn JF
2. Senetor
3. Clemmy
4. Andare
5. Mphamvu
6. Only83
7. Mabulang'ati (huyu nae ni mwanaintelijensia, utawala ushamtumia ila utamdampo kama used condom)
8. menyidyo
9. ...

mbona jina langu silioni?
 
wakinifukuza,naanza kuroga wote mkandara,maboko na mgaya ikiwezekana hata na jk.

hebu mloge huyo jamaa wa mwisho hapo ikifika asubuhi atangaze kuhama chama, ahamie kile chama cha Dovutwa.
 
Sio kwamba tumetulia. Watu wana hamu ya kugoma ila tatizo wanahitaji 'starter'. Nani ajitoe mhanga? Kwanza watu sasa hivi wanalifaidi boom tu, wameshasahau.

Mimi nasikitika kwa wale waliokamatwa maana hawakutendewa haki, TBC walitangaza katika habari yao saa 2 juzi kuwa wamefukuzwa kwa sababu waliharibu mali za umma, waliwapiga watu watano, wakaharibu kantini na mabasi matatu. Nashindwa kuelewa, maana hawa watu 51 hakuna ushahidi kuwa walikuwepo siku ya vurugu ya jumatatu usiku. Sasa mbona wao ndio wapewe adhabu? Wale waliofanya fujo j3 ndio wameharibu maana walikuwa wanafanya fujo sana. Mfano kuwachapa wanafunzi wenzao.
 
Back
Top Bottom