Yaleyale...talalila, longolongo, fiksifiksi. porojoporojo, blah blah... hamna lolote litakalofanyika watachunguza weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hadi hao wachunguzi wa TAKKUKURU wafikie umri wa kustaafu au wanaochunguzwa wafe! Tunarudi palepale....
Tanzania ilitia mkataba wa kuzuia rushwa duniani kwa hiyo kama mla rushwa yuko nchi ambayo nayo ilitia mkataba huo wa UN ni kupiga tu simu aletwe, lakini mbona wao bado wanaendelea na wenzao uingereza wamemaliza uchunguzi wao. Au sis ni mabwege hatuelewe tunachochunguza??????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.