Hatujashindwa kumfikisha mahakamani Vithlani-Ghasia

nawaonea huruma viongozi wa upinzani manake hii shughuli ya kitanzania ya kuchunguza weeeee
hata muda wa kujijenga majimboni hawana.
 
Yaleyale...talalila, longolongo, fiksifiksi. porojoporojo, blah blah... hamna lolote litakalofanyika watachunguza weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hadi hao wachunguzi wa TAKKUKURU wafikie umri wa kustaafu au wanaochunguzwa wafe! Tunarudi palepale....
 
Tanzania ilitia mkataba wa kuzuia rushwa duniani kwa hiyo kama mla rushwa yuko nchi ambayo nayo ilitia mkataba huo wa UN ni kupiga tu simu aletwe, lakini mbona wao bado wanaendelea na wenzao uingereza wamemaliza uchunguzi wao. Au sis ni mabwege hatuelewe tunachochunguza??????????
 
Back
Top Bottom