Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Maisha yangu siku zote sijawai kuipenda ccm na maisha yangu siku zote nimeiunga mkono Chadema hata uchaguzi wa 2015 sijaipigia kura CCM
Kwasababu siku za nyuma CCM ilishindwa kupambana na rushwa kabisa hasa rushwa nono za vigogo na mikataba mibovu
Mie kabla ya Magufuli nimekuwa muumini mkubwa wa Kagame kwa vitu wiwili tu,Nachukia rushwa na naitaji Maendeleo tu.
Ndio maana maana baada ya uchaguzi tu kwisha na kuanza kumuona Rais Magufuli akipambana na rushwa kubwa na kufuta mikataba yote mibovu na kurudisha nidhamu Serikalini na hapo ndo nilianza kumuunga mkono Raiswetu Magufuli
Kama nilivyojitoa siku zote kuiunga mkono Chadema sikulipwa hata mia na sikuitaji cheo ndivyo na leo namuunga mkono Rais wangu mpendwa Magufuli vile vile pasi na nakutegemea chochote
Kwa wale wenye mawazo mchoko mnaodhani tunatafuta vyeo nachelea kusema bado mpo kwenye mkwamo wa masafa marefu
Tunamuunga mkono Rais wetu Magufuli kwasabu mbili na za msingi:Moja amezuia rushwa kubwa,pili kurudisha nidhamu Serikalini na tatu anajenga Uchumi endelevu wa Taifa hili
Siku za usoni naamini Tanzania haitakuwa tegemezi kabisa kama huko mwanzo maana sasa rasilimali zetu hizi sasa lazima zitunufaishe kinyume na huko nyuma ambapo 95% walikuwa wanachukua wawekezaji
Kama ingekuwa amri yangu ningesema Rais Magufuli akae kwanza miaka 20 madarakani ili Nchi ipige hatua.
Tuache porojo na hadaa na dhamira zetu zinatushuhudia kabisa,Hakuna kiongozi ambaye angefanya haya ambayo leo Rais Magufuli anafanya.
Naudia najua baadhi humu mnamchukia Rais Magufuli kwasababu moja tu,wengi wetu humu mmekuwa mkinufaika na pesa za wizi kwa namna moja au nyingine na Rais Magufuli ameziba mirija yote.
#JPM KIOO TUELEKEACHO 2020
Alex Fredrick
+255 758 308494
Kwasababu siku za nyuma CCM ilishindwa kupambana na rushwa kabisa hasa rushwa nono za vigogo na mikataba mibovu
Mie kabla ya Magufuli nimekuwa muumini mkubwa wa Kagame kwa vitu wiwili tu,Nachukia rushwa na naitaji Maendeleo tu.
Ndio maana maana baada ya uchaguzi tu kwisha na kuanza kumuona Rais Magufuli akipambana na rushwa kubwa na kufuta mikataba yote mibovu na kurudisha nidhamu Serikalini na hapo ndo nilianza kumuunga mkono Raiswetu Magufuli
Kama nilivyojitoa siku zote kuiunga mkono Chadema sikulipwa hata mia na sikuitaji cheo ndivyo na leo namuunga mkono Rais wangu mpendwa Magufuli vile vile pasi na nakutegemea chochote
Kwa wale wenye mawazo mchoko mnaodhani tunatafuta vyeo nachelea kusema bado mpo kwenye mkwamo wa masafa marefu
Tunamuunga mkono Rais wetu Magufuli kwasabu mbili na za msingi:Moja amezuia rushwa kubwa,pili kurudisha nidhamu Serikalini na tatu anajenga Uchumi endelevu wa Taifa hili
Siku za usoni naamini Tanzania haitakuwa tegemezi kabisa kama huko mwanzo maana sasa rasilimali zetu hizi sasa lazima zitunufaishe kinyume na huko nyuma ambapo 95% walikuwa wanachukua wawekezaji
Kama ingekuwa amri yangu ningesema Rais Magufuli akae kwanza miaka 20 madarakani ili Nchi ipige hatua.
Tuache porojo na hadaa na dhamira zetu zinatushuhudia kabisa,Hakuna kiongozi ambaye angefanya haya ambayo leo Rais Magufuli anafanya.
Naudia najua baadhi humu mnamchukia Rais Magufuli kwasababu moja tu,wengi wetu humu mmekuwa mkinufaika na pesa za wizi kwa namna moja au nyingine na Rais Magufuli ameziba mirija yote.
#JPM KIOO TUELEKEACHO 2020
Alex Fredrick
+255 758 308494